Leo Taikon yupo kwenye sherehe za makambi, Mtaa wa Manzese, Karibuni.

Hivi mkuu ni kweli kwamba mwanamke wa kisabato anaweza kuwakataa injinia, daktari, mfanyabiashara mkubwa, au mwanasiasa na kuvutiwa hadi kuolewa na kijana mwenzake wa kisabato anayemba bass?
 
Hivi mkuu ni kweli kwamba mwanamke wa kisabato anaweza kuwakataa injinia, daktari, mfanyabiashara mkubwa, au mwanasiasa na kuvutiwa hadi kuolewa na kijana mwenzake wa kisabato anayemba bass?

😀😀😀
Unajua Leo ni weekend?
 
Hivi wasabato huwaga ni watu gani mkuu? Mi muislamu nawajua wakatoliki na walokole tu
 
Hivi wasabato huwaga ni watu gani mkuu? Mi muislamu nawajua wakatoliki na walokole tu

Ni watu Wana marejeo wanaoamini katika Torati na Neema ya Kristo.
Wanaabudu siku ya jumamosi(Sabato), siku ya Saba ya Juma Kwa Kalenda ya kiyahudi.
 
Ningekuwa DSM ningekuja kwaajili ya kusikiliza Kwaya za Kisabato

Huwa Hambahatishi aisee

Kwa kuimba hongereni sana.
 
Ni kwanini huwa mnaita Makambi? Mnatengeneza vibanda vya siku kadhaa?

Hili ni somo Pana Mkuu.
Asili ya makambi ni sikukuu ya vibands vilivyoagizwa kwenye Torati ya Musa. Ndani ya siku Saba. Ni sikukuu kubwa kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…