Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Leo tarehe 12 April 2022 Serikali yetu kupitia Wizara ya Ajira na utumishi wa Umma imetangaza Ajira mpya na kupandisha madaraja wafanyakazi kibao.
Serikali yetu imesema itatumia zaidi ya shilingi bilion 40 katika michakato hii yote.Kwa taarifa zaidi ingia www.utumishi.go.tz
Kila la kheri vijana.