Kwa hiyo tuseme kwa mfano wangesema wanavaa vitambaa vyeupe kuunga mkono kuangamiza kizazi cha watu weusi, je, ungeendelea na huu msimamo wako, kwenda kucheck game lao kwenye screen?!
Inakera kweli kweliUwiiiiiiii hadi Arsenal pia?[emoji87] [emoji134]
Arsenal wameanza Muda mrefu Sana hii.... Wanalo hadi jukwaa la gays... Gay gooners wanajiita
Supporters nao ni mashoga inamaana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tulia we mtu mweusi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eeeh afadhali maana nilihisi faiza atakuja kutoa bonge la kometi hapa hadi waangalia mpira tukome.Mashoga tu ndiyo watavaa.
Ligi kuu iana mashoga wengi sana wadhahiri na wasiri.
Wazungu mamo ya laana na kukufuru wamezidisha mno. Neema zimewazidia na kufuru wanazidisha, yetu macho.
Mimi naangalia tu cha msingi nafuata burudani ya soccer tu hayo mengine nawaachia wahusika wakuu
Hapana mkuu hizo timu hayo ni mambo yao wee ukienda kwenye screen unacheki Game ikiisha na wewe unafanya mambo yako,club zina mambo mengi tu ya siri zaidi ya ushoga.cha muhimu ni kutokujihusisha au kuunga mkono vitendo hivyo au kuvishabikia,unasema napenda timu fulani kwa soka yake uwanjani.mpira ukiisha wewe na timu kwisha.
Kuna siku ilipikwa nyama ya nguruwe, jamaa mmoja akasema " mi nguruwe sili nakunywa tu mchuzi"Mimi ni Mwafrika na mmoja wa Mshabiki wa Man united maana napenda burudani ya soka pia wala sisapoti vitendo vya kishoga.