Leo Tottenham kumpokonya Man City Ubingwa

Leo Tottenham kumpokonya Man City Ubingwa

Yani hadi naogopa kuangalia hiyo mechi, I hate the feeling of disappointment.
Nakufaham Nifah ulivyo mpenzi wa Gunners. Najuwa utafurahi sana Tottenham ikishinda leo usiku na Arsenal kushinda jumapili na kuwa mabingwa. Furaha yako Nifah ni furaha yangu.

Praying for Tottenham and Arsenal
 
Spurs ashinde. Sipendi dominance ya timu moja kwa muda mrefu.
Inapunguza msisimko wa ligi. Hili kombe mwaka huu abebe Arsenal.

Japo kelele zitakuwa nyingi mtaani lakini walau City apunguzwe speed.
Hatuez kua na hatujawah kua na kelele, sisi sio Man u Kunguru nn
 
Spurz kushinda hiyo game ni miujiza ya mpira tu, but seriously they are not good enough at the moment, while city miezi hii huwa wanawasha moto sana, nina wasiwasi game inaweza kwisha 1st half kwa city kushinda.

Arsenal kukubali kufungwa na Aston Villa naona lilikuwa kosa kubwa sana litakalowagharimu, wenye experience kama Man City wanajua kipindi hiki sio cha kupoteza wala ku draw game.

Hapo ndipo hushinda hata game kumi mfululizo wanachukua ubingwa kwa tofauti ya pointi moja, tena game ya mwisho wakitoka nyuma goli 0-2 wanashinda 3-2 kuanzia dakika ya 75!. Remember Rodrii..... Ilkay Gundogan....

Wale jamaa ni wanyama sana, japo nawaombea Arsenal wachukue ubingwa this time, kwa performance ya aina hii waliyonayo sasa halafu bado watoke mikono mitupu...

Guardiola sio mtu. Inaweza tokea City akaharibu leo kisha Arsenal akaharibu game ya mwisho... football nayo ni pasua kichwa sana.!!
 
Spurz kushinda hiyo game ni miujiza ya mpira tu, but seriously they are not good enough at the moment, while city miezi hii huwa wanawasha moto sana, nina wasiwasi game inaweza kwisha 1st half kwa city kushinda.

Arsenal kukubali kufungwa na Aston Villa naona lilikuwa kosa kubwa sana litakalowagharimu, wenye experience kama Man City wanajua kipindi hiki sio cha kupoteza wala ku draw game.

Hapo ndipo hushinda hata game kumi mfululizo wanachukua ubingwa kwa tofauti ya pointi moja, tena game ya mwisho wakitoka nyuma goli 0-2 wanashinda 3-2 kuanzia dakika ya 75!. Remember Rodrii..... Ilkay Gundogan....

Wale jamaa ni wanyama sana, japo nawaombea Arsenal wachukue ubingwa this time, kwa performance ya aina hii waliyonayo sasa halafu bado watoke mikono mitupu...

Guardiola sio mtu. Inaweza tokea City akaharibu leo kisha Arsenal akaharibu game ya mwisho... football nayo ni pasua kichwa sana.!!
Umeongea points nzuri Sana mkuu.City kudrop points at this crucial moment Ni Jambo ambalo haliwezekani kabisa.
Watafanya chochote kushinda hiyo mechi.Afu Spurs nao Ni wanyonge sidhani Kama wataweza kuizuia City.

Ila acha tusubiri tuone coz mpira unakuwaga na maajabu Sana.
 
Arsenal haiwezi kuwa bingwa wa EPL. Subirini next 30 years.

Na pale Saka anaondoka, Rice, Odegaard. Mnarudi kuwa mediocres
Kwenye EPL timu pekee ambayo Ni threat kwa Arsenal is non other than Manchester City,, timu zingine zote Ni miyeyusho tu.

Hi City tutaenda nayo jino kwa jino mpaka tutwae ubingwa bila kujali Muda.
 
Back
Top Bottom