Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo 😁Hii mechi draw 1-1 nakuahakikishia utabiri wako WHU hautafanikiwa
Sio tot tena 😂Basi Westham watashinda
Wee mbusiiWe umbwa
Watu mna utani sana na pesa!GG& Away Win.
stake 500K upate pesa.
wale wa Correct score 1 - 3
hapa unastake 50K.
kwa aliyefuata mkeka wangu, kaliwa..Watu mna utani sana na pesa!
Kweli bwanaToka hapa tokea umetutabiria Liverpool ubingwa tukaanza kupoteza points tu.
Mkaldayo wewe ni umbwaaa. Mbussiiiii. Una gundu.
Yaani leo hii arsenal ni mshindani wa city? Mshindani gani huyo ambae hata kuchukuo kikombe chochote mbele ya city hawezi? Ngoja uone mwisho wa msimu kabati la arsenal litakusanya vikombe vingapiUnanishangaza Sana unapoitaja Liverpool.
Last season Liverpool walikuwa number ngapi mwishoni mwa msimu?
Huu msimu baada ya kutongoza ligi kwa Muda mrefu wakamuua kobottle.
Mshindani mkubwa wa City Ni Arsenal & vice versa.
Man city ya Pep inafugwa na yoyote mechi za mapema sio mechi kumi za mwisho ,arsenal na madrid walipaki basi ikawasaidia westham hana huo uwezo viumbe hao wakiuliza maswali,kiufupi wanakela sana spurs waliamua kueaumiza kwa makusudi maana toka pep aje epl hata goli akuwahi kupata spurs arena lakini jana yakapatikana kwasababu yanahitajikaNovember 12, 2022 ni msimu uliopita vs brentford
Alisikika deluded asenyani mmojaMzuka Wanajamvi!
Itakuwa bonge la Mechi. Ngumu kwa shabiki wa mpira kukosa kuangalia na kufuatilia.
Hii mechi ya ligi kuu uingereza ni ya kusisimua ni Tottenham Hotspur vs Mancity ambayo unataka kutwaa ubingwa mara sita mfululizo kwa kushinda mechi zake mbili zilizosalia.
Kwa upande wangu Tottenham itashinda hii mechi ukizingatia nayo inapigana k7cheza UEFA Champions league.
Kama Tottenham itashinda usiku huu basi itaifungulia njia Arsenal kuutwaa ubingwa unapo itaishinda Everton mechi yao ya mwisho jumapili.
Mashabiki wa Arsenal najuwa wanaomba sana Tottenham ishinde.
Senior JF local and international sports analyst and correspondent and a London based Chatham house Think-tank.
Sikupingi ila kwa jicho langu la kisoka sikuona totenham kama anaweza mzuia city asichukue point 3. Kuhusu westham tungoje muda utaongea kama itakua ni tofauti ni sawa pia ndio mpira wa miguu ulivyo ila arsenal ubingwa ulikuwa wazi tulizingua wenyewe ikumbukwe tulishakuwa na gap zuri tu la points ila zilidondoshwa kizembe sana.Man city ya Pep inafugwa na yoyote mechi za mapema sio mechi kumi za mwisho ,arsenal na madrid walipaki basi ikawasaidia westham hana huo uwezo viumbe hao wakiuliza maswali,kiufupi wanakela sana spurs waliamua kueaumiza kwa makusudi maana toka pep aje epl hata goli akuwahi kupata spurs arena lakini jana yakapatikana kwasababu yanahitajika
Mzuka Wanajamvi!
Itakuwa bonge la Mechi. Ngumu kwa shabiki wa mpira kukosa kuangalia na kufuatilia.
Hii mechi ya ligi kuu uingereza ni ya kusisimua ni Tottenham Hotspur vs Mancity ambayo unataka kutwaa ubingwa mara sita mfululizo kwa kushinda mechi zake mbili zilizosalia.
Kwa upande wangu Tottenham itashinda hii mechi ukizingatia nayo inapigana k7cheza UEFA Champions league.
Kama Tottenham itashinda usiku huu basi itaifungulia njia Arsenal kuutwaa ubingwa unapo itaishinda Everton mechi yao ya mwisho jumapili.
Mashabiki wa Arsenal najuwa wanaomba sana Tottenham ishinde.
Senior JF local and international sports analyst and correspondent and a London based Chatham house Think-tank.
Yani hadi naogopa kuangalia hiyo mechi, I hate the feeling of disappointment.
Ebu badilisha kauli yko,mancity hajawahi pata goli pale spurs arena, Tottenham FA alitolewa na nani na ktk uwanja gan.Man city ya Pep inafugwa na yoyote mechi za mapema sio mechi kumi za mwisho ,arsenal na madrid walipaki basi ikawasaidia westham hana huo uwezo viumbe hao wakiuliza maswali,kiufupi wanakela sana spurs waliamua kueaumiza kwa makusudi maana toka pep aje epl hata goli akuwahi kupata spurs arena lakini jana yakapatikana kwasababu yanahitajika