Jamani vibaya hivyo unatunyima uroda wa bure. ππNimehama nyumba nne tofauti, zote wapangaji wenzangu wananilalamikia hivyohivyo....π π π
View attachment 1735036
View attachment 1735037
View attachment 1735038
View attachment 1735039
Sasa hivi naogea kwenye pipa chumbani kwangu π.
Inaudhi sana hii watu wanaoshinda mchana wanakula umeme hasa magoli kipaKwann umeme unaenda sana.... Kuna watu humu wanashinda mchana hapa. Inabidi walipe mara mbili zaidi.
Mama house mbona hvyo ,au sababu bint zako awajaolewa wako wako tu ,hahahahaNyie wapangaji wa kiume mbona mnabadilisha sana wanawake
Ndio maana huwa sipendi wapangaji ambao hawana familia hapa kwangu kwa nini usitafute mwanamke mmoja ukatulia nae
Mkataba wenu kila mmoja ukiisha siwahitaji hapa kwangu
Acha umaandazi nyie ndio wale mnakuja kutafuta vyumba na madalalali unamwambia dalali akutafutie nyumba sehemu yenye wadada ili ujipatoe na ukikosa ndio mnapiga keleleNashindwa kuchangia maana naona uzi umekaa kidada dada yaani!
Hahahhaja we jamaa ukitaka kuwatoa ngoja nikuonyeshe namna ,waambie tu mama mwenye nyumba anakuja kudai kodi uoni izo mbio watakuacha ukajisaidie kwa uhuru jaribu iyo mbinuHawa madada wanapiga stori zao karibu na choo, na mimi nataka kwenda kujisaidia haja kubwa. Siendi maana watakuwa wanaisikilizia
Hv mpka leo danga lako alijakununulia fridge?in mama mwenye nyumba voice wewe chausiku nenda kasafishie kaka yako chumba alafu chukua maji haya niwekee kwenye friji lake yapate ubaridi
Hv mama house nikikupa miezi miwili utakubali maana hali mbaya na watoto wanaenda skul afu kazi haijakaa sawa naomba nipunguzie kodi alafu nikupe miwili kwaamza nakuomba sana mama@Extrovert Kilawo Panchito shylock Expected Value na wenzenu mikataba yenu ikiisha siwataki hapa kwangu
Sasa mama utawaoa wewe, ila mama anavyoonekana ni wale wamama wakujichubua afu bwana ake alisha danjaga kitambo afu mama wakuweka kalikiti afu ni mama wa dogo dogo hahhaa anavizia wapangaji wadogo wadogoHapo kwa wanangu hapo tutafikishana pabaya
Dah mwana una dharau unajua huyu maza alifanyaga TISS angalia usije ishia pabayaRudisha ya miezi yote niliyokulipa nyumba zipo nyingi! Hii yako nayo ni nyumba au mabanda ya mbwa!
Dah, wahuni eeh dizaini kama huyu maza kashaanza uchawi, sijui anataka tum bokoe kistaili. Yani wamama wenye nyumba wasio na mishen town jau kweli yani π@Extrovert Kilawo Panchito shylock Expected Value na wenzenu mikataba yenu ikiisha siwataki hapa kwangu
Mama punguza sauti kuna mtoto anaumwa huku alafu mama ungevaa basi hata kitenge kuna watoto hapa unagombana na huyo ndio ukamvalie bukta hapana bana kuna watoto hapaNarudisha ya miezi iliyobaki tu banda la mbwa hili ndio mnalolala na kubadilisha wanawake zenu