Ukilewalala
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 542
- 1,111
Mkuu wewe ukoo wako wote mnaishi nyumba za kupanga kudadeki[emoji23][emoji23]Nasikia alipewa na nandy japo sina uhakika
Narudisha ya miezi iliyobaki tu banda la mbwa hili ndio mnalolala na kubadilisha wanawake zenuRudisha ya miezi yote niliyokulipa nyumba zipo nyingi! Hii yako nayo ni nyumba au mabanda ya mbwa!
Notice ya miezi mitatu hii nyumba sio yenu mikataba yenu ikiisha muhamePoa ila lazima utupe notice miezi mitupu huku tunatafuta nyumba ndio sheria
Nyumba zangu sipangishi wa Haya ni wabaguzi na wanaongea kikabila tu. alafu wabishi paka mpelekeshani mahakamani kukulipa kodi niwajuaji sanaNotice ya miezi mitatu hii nyumba sio yenu mikataba yenu ikiisha muhame
Usitutishe tutahama kwanza nyumba haina dali, taa moja mnatumia wawili,hamna tiles umeme wenyew wakuungaunga. Na tukiondoka hilo fridge utauza maana hununuagi umeme. Tunakuvumilia tu.Notice ya miezi mitatu hii nyumba sio yenu mikataba yenu ikiisha muhame
Tukiondoka wanao wataugua chekelea na ukitufata tukawachekeshe utatulipa!!@Extrovert Kilawo Panchito shylock Expected Value na wenzenu mikataba yenu ikiisha siwataki hapa kwangu
Wanaringa na nyumba zaoNyumba zangu sipangishi wa Haya ni wabaguzi na wanaongea kikabila tu. alafu wabishi paka mpelekeshani mahakamani kukulipa kodi niwajuaji sana
Mbona hamuisifii inavyowastiri na wanawake zenuUsitutishe tutahama kwanza nyumba haina dali, taa moja mnatumia wawili,hamna tiles umeme wenyew wakuungaunga. Na tukiondoka hilo fridge utauza maana hununuagi umeme. Tunakuvumilia tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuugua chekeleaTukiondoka wanao wataugua chekelea na ukitufata tukawachekeshe utatulipa!!
Kaa kwa kutulia kwani tunat****nia chumbani kwako?Haya nayo yanatombana mchana wote huu hata hayaoni aibu.