Leo tufanye kama tunaishi majirani nyumba za kupanga

Leo tufanye kama tunaishi majirani nyumba za kupanga

Siku napiga chabo tu maana nilikua macho.
Vibaka wanaingiza ndoano lao lile waivue simu ilikua kitandani na inaonekana maana tv ilikua on.
Sasa ile lile ndoano linakaribia kunasa simu nikalinasa mimi bana vuta ndani kwa nguvu zote naskia nje uko brother achia basi mi ndo nikaendelelea kulivuta ndani kwa nguvu zote.
😅😅😅😅
Wale mateja sijui walijifunga kiunoni ama shingoni.
Bana badae sijui walijiokoa vipi wakatoka baru balaa wakaniachia lindoano lao la kuvua simu.

Hiyo Mwananyamala mitaa ya daladala camp miaka hiyo au garage mchangani.
 
Nimejaribu kuwaza hapa vitu, vituko nilivyokutana navyo nyumba ya kupanga nikajikuta nacheka mwenyewe.

Sasa basi naamini kila mtu ana vitu na changamoto na vituko anakutana navyo ,so tunaanza kushuka coment na kujibizana kama watu tuishio nyumba za kupanga tufanye wapangaji tuko wengi. Kwahyo fanya kama tunaishi hizo nyumba tukiwa majirani.
Mama mwenye nyumba ni Shunie
Nanza mimi


Jamani majirani nauliza nani Kachukua kopo la chooni, silioni humu…


… .
Nyie wapangaji wa kiume mbona mnabadilisha sana wanawake

Ndio maana huwa sipendi wapangaji ambao hawana familia hapa kwangu kwa nini usitafute mwanamke mmoja ukatulia nae

Mkataba wenu kila mmoja ukiisha siwahitaji hapa kwangu
 
Back
Top Bottom