@Extrovert Kilawo Panchito shylock Expected Value na wenzenu mikataba yenu ikiisha siwataki hapa kwangu
hivi tukikuita mnoko utasemaje?
Wee hamnitishi yule jirani fatuma ni rafiki yangu pia! Majirani gani mna gubu kama nimewaibia mabwana zenu haloooπWewe tushakuzoea
Sababu ya kidomo domo chako hakuna hata mpangaji mmoja unayeongea nae tofauti na sisi
Na sisi tukiamua kukufungia vioo utaishi kama bubu humu ndani
Da'vinci huyo ndio zakejamani choo kimeziba muwe mnamwaga maji ya kutosha, [emoji28]
na we dada mchoyo kinoma kisa cha kuninyima ubwabwa?Wee hamnitishi yule jirani fatuma ni rafiki yangu pia! Majirani gani mna gubu kama nimewaibia mabwana zenu haloooπ
Afu we kaka nakuvumilia siku zote! Hiyo tabia ya kugongea misosi wewe utapika lini? Kila siku ukaribishwe wewe tuππna we dada mchoyo kinoma kisa cha kuninyima ubwabwa?
@financial services huyo ndo anatupamo pedi!jamani choo kimeziba muwe mnamwaga maji ya kutosha, [emoji28]
we dada yaani mimi kula masinia matatu tu ya ubwabwa ndo umeona nakula sana sioπ‘π‘π‘Afu we kaka nakuvumilia siku zote! Hiyo tabia ya kugongea misosi wewe utapika lini? Kila siku ukaribishwe wewe tuππ
Nasikia mama mwenye nyumba alimuua mume wake ili arithi mali zake ndiyo maana mnaona hana mume
kwani umeskia mimi ni manji?"Jirani niazime gesi yako nipikie mara moja yangu imeisha...."
Pasi aliichukua financial services bado hajarudishaDada Joanah naomba niazimie pasi kwa dada yako. Kuna nguo imejikunja nataka niinyoshe.
πππWee hamnitishi yule jirani fatuma ni rafiki yangu pia! Majirani gani mna gubu kama nimewaibia mabwana zenu haloooπ
Pasi aliichukua financial services bado hajarudisha