Daaah noma saanaNakumbuka kipindi niko shule ya Msingi Tanga enzi hzo siku moja kabla tulianza kusikia tetesi za nyonya damu so kesho yake tukaenda shule fresh.
Sasa bahat mbaya kulikua na shule mbili ambazo ziko karbu karbu sasa shule ya wenzetu ilikua karbu na barabara, sasa sjui waliona nin kule wkaanza kutoka mbio sie huku baada ya kuona hvyo tukaanza kukimbilia mtaani so watu wakawa wanashangaa hawa jamaa nin kimewakuta.
Baada ya muda ndio tunaanza kusakwa mtaani na walimu maana hakuna mwanafunzi aliebaki shulen
Hiyo ya nyonya damu ... ilikuwa ni disaster
Tunasubiri hadithi yako mradi iwe ya ukweli.Mimi nilinusulika kunyonywa damu,nilifikishwa Mpaka polini,kuna Siku nitawasimulia A-z
hii nyonya damu nakumbuka wkt tupo primary 1987 ilikuja ambulance shuleni,mpuuzi mmoja akasema nyonya damu hao wamekuja.Popo bawa na Nyonya damu hawa jamaa walitikisa sana miaka ya 90
hii nyonya damu nakumbuka wkt tupo primary 1987 ilikuja ambulance shuleni,mpuuzi mmoja akasema nyonya damu hao wamekuja.
kilichotokea shule nzima wanafunzi walikimbia kwenda kwao.
Ha ha ha ha hat mm hiili tukio lishawah kutukuta kukimbia shule nzimahii nyonya damu nakumbuka wkt tupo primary 1987 ilikuja ambulance shuleni,mpuuzi mmoja akasema nyonya damu hao wamekuja.
kilichotokea shule nzima wanafunzi walikimbia kwenda kwao.
Acha Tuu Hao Ndo Walitufanya Tuamini Kua ni KweliJe hii ya 2007 zilivuma habari za popobawa sijui kavamia Magomeni na kuna wanawake walisema wamepitiwa tena walihojiwa na marehemu shekhe Yahya chanel 10 nao pia walikuwa wazushi?
Aisee Ni Noooma SaaaanaNimecheka mpaka basi. Nilikuwa nikija Dar nafikia Magomeni usalama. Pale nyuma kulikuwa na kota. Wee wanasema kulikuwa na popo bawa hasa kama kuna misiba na shughuli. Siku hizi nikiangalia ule wimbo Diamond na wenzie wa Zilipendwa nakumbuka mbaliii. Siyo hao tu hata kibisa na mambo mengi ya enzi hizo. Hivi siyo late 80s hivi? Maana mimi nilikuwa natoka bara kuja kikazi Dar enzi hizo.