Leo tujikumbushe na matukio ya popobawa yalitotikisa

Je hii ya 2007 zilivuma habari za popobawa sijui kavamia Magomeni na kuna wanawake walisema wamepitiwa tena walihojiwa na marehemu shekhe Yahya chanel 10 nao pia walikuwa wazushi?
Shekhe yahaya ..kwa upande nwingine alikuwa ni mpigaji tu ndugu ...wala usijipe shida
 
Hayo waga ni maigizo tu ya CCM wakiona kuna kashfa ya ufisadi ngoja nitaje iyo list ya ujinga wao
1.Dengue fever .walikuwa wanaugua wasanii Tu
2.dr shika sijui sahivi yuko wapi?
3.Nabii Tito mwenye kujua alipoa asaivi aniambie
4.Babu wa loliondo pia ilikuwa na trick


Yapo mengi Sana bila kusahau sahivi tunachezeshwa ngoma ya piere Liquid ambae hajulikani hata alikotokea na sizani kama anandugu dunia hii[emoji23]
 
duuuh Ni Noooma.....Mara Ya Mwisho nabii tito alitoroka Milembee
 
😂😂😂😂😂😂umejua kunifurahisha mkuu
 
Darajani na Mkwakwani p.schools??😊
 
Hahahahahaha, dah mkuu umenivunja mbavu
 
Nakumbuka Mbagala watu walikuwa wanalala nje ila nikakomaa kucheki TV mpaka asubuhi, ila kufika mida ya saa 8 nikasema hakuna issue za popobawa wacha nikalale ile kulala km dk 5 tu nikasikia kama ndege ametua nje dirishani nikaona isiwe tabu, nikaenda kuwasha tena TV ikagoma kuwaka nikasema leo nimekwisha historia ya kuliwa kiboga inatimia, baada ya kukomaa ikawaka hapo tena sikufunga hata kope mpaka che!
 
Daaaah Noma Saaana
 
Ha ha ha mleta mada umenichekesha kupita kiasi. We jamaa ni muongo asee eti ikabidi nijikaushe kimya huku ninatokwa na machozi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulikuwa na umri gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…