Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao wote role model wao ni dogo janja, washakiri hivyo
Acha kulisha watu upepo... Yaani nyie watu wa kaskazini kwa kupenda sifa hamjambo.
Kusema dogo janja anaingiza mkwanja mwingi huo ni uongo wa mchana kweupe. Huyo dogo yupo tiptop hivyo kama ni mkwanja anayeingiza ni Tale, huyo dogo anasubiri mshahara mwisho wa mwezi.
Kawaulize wale Yamoto Band bank wana sh ngapi japo ni maarufu kuliko hata hawa wanaojadiliwa hapa.
Unavyomuona Tale unafikiri atakua na tofauti gani na Fella?
Acha ushabiki mandazi kusifia usiyoyajua.
Uongo...aliekiri ni YOUNG KILLER pekee...Ingawa haizuii kumfunika Young D na Dogo Janja.......Kama ni mfuatiliaji mzuri YOUNG D ndo dogoo aliyeshawishi madogo wote hao kuingia kwa muziki.......
Young Killer ndo mkubwa wao wa kazi........
Young D.....ndo anaefuatia
Dogo Janja...hakuna kitu hapa.......Anacheza na media tu..na kujipodoa...
OVER
We mzaramo gani unaongea kiswahili kibovu namna hii "muhandishi" ndio nn? "halipo" una matatzo gani na H ww!Young Killer Ana kipaji kikubwa sana cha kuandika amini nakwambia hata Fid Q hakuwa muhandishi mzuri wa kiwango cha Young Killer alipokuwa na Umri kama wa Young Killer.
Young D Ana flow moja nzuri sana....sio mzuri sana kwenye kuandika ila ukisikiliza nyimbo zake azichoshi kwa sababu kila wimbo wake unakuja na style/flow tofauti na iliyopita.
Dogo Janja ni msanii wa kawaida tu....Ile kuwa yupo Tip Top ndio inambeba akisimamiwa na watu kama Tale na Madee lazima usikike na ufike mbali....Kama Young D na Young Killer wangepata usimamizi mzuri kama anaopata Dogo Janja wangekuwa mbali zaidi ya Halipo Dogo Janja.
Nimezungumzia muziki hayo mambo ya kuvaa na show zao zilivyo watazungumzia wengine.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mnafananisha killer na upuuzi upuuzi