Leo tule catress na juice

Leo tule catress na juice

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Leo niliji mwaga mapema sana saa nne nipo home

Njaa ikawa inauma dah kuagiza chakula naona uvivu hapa nikaamua kwenda kwenye friji kutafuta chochote kitu

1738241294392.jpeg

Nikanywa mtindi nikaona mayai ndio nikapata wazo la catress

1738241387624.jpeg

Nikaanza kuandaa viazi mbatata nikachemsha baada ya kuiva nikaanza kusaga viazi kama ugali
1738241469263.jpeg

Nilipo hakikisha vipo sawa nikaanda karoti hoho na kitunguu
1738241522322.jpeg

Nikaviacha nikchukua nyama ambayo nilichemsha nikaisaga vizuri na brenda

1738241607748.jpeg

Then nikachukua viazi ambavyo nimeviponda nika mix na viuongo vyangu

1738241664844.jpeg

Ndipo nikaanza kutengeneza mvilingo kupitia mikono katikati nika weka nyama ile ilio sagwa hakikisha mkono unapaka mafuta

1738241832102.jpeg

Na zilikuwa na muonekano uhu baada ya hapo

1738241894560.jpeg

Nikachukua mayai niliyo yakologa vizuri unatumbikiza viazi vyako
1738242005576.jpeg
Weka kimoja kimoja usiwe na haraka hapo njaa ishakata nikaona nimeshiba nikasema uhu ndio mlo wangu wa jioni

1738242084197.jpeg

Nika nimemaliza na hii inahitaji muda sana kupika hivi

1738242177599.jpeg

Sawa Half american
 
Kwa ninavyojua mimi hiyo nyama ungeichanganya kama ulivyofanya kwenye viungo na sio kuiweka katikati.

Hata hivyo umetisha, mwanaume kupika namna hiyo sio salama sana.
😊☺️😅😂 Nimecheka kwenye daladala humu kila mtu kageuka nyuma kuangalia..imenibidi nijikaushe 😊☺️ Kama hakija tokea kitu.
 
Back
Top Bottom