Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Ukipika roast la ugali na nyama ntakaribia hivi hapana boss wangu 😂Karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipika roast la ugali na nyama ntakaribia hivi hapana boss wangu 😂Karibu
😂😂 ila kutokana na familia ulio kulia mimi kwetu nikiwa mdogo kulikuwa na ratiba kabisa ya kupika sio dada sio kaka zangu so ikifika zamu yako ukipika vibaya wanakususiaHongera sana mkuu maana wengine kupika ilikuwa tabu kweli. WAkati naishi peke yangu sikuwa napenda kununua chakula nilikuwa napika ila napika ili mradi kusurvive tu maana chakula chenyewe ni dakika kadhaa nshapakua.
Ni mazoea tuKama ni jioni umekula hivo saa nane usiku usingizi utakua umekata unaskilizia njaaa ya Karne
Oh kumbe vzrNapika ila mwezi mtukufu, hapo Magereza ilikuwa karibu na ofc.
SooonUkipika roast la ugali na nyama ntakaribia hivi hapana boss wangu 😂
Hapana wewe subiri tu.Kwamba mikubwa 😂
Hapana mkuu mimi kwetu tulikuwa na ratiba ya kupika pia hatukukuwa tukiwa na dada wa kazi. Sema sasa nilipoanza kuishi alone kupika nikawa napata tabu.😂😂 ila kutokana na familia ulio kulia mimi kwetu nikiwa mdogo kulikuwa na ratiba kabisa ya kupika sio dada sio kaka zangu so ikifika zamu yako ukipika vibaya wanakususia
Ashindwe yeye kula tuNimeongea na Bhakhresa hapa. Anasema kijana unaweza kutengenez Catress 1000 kila asubuh
Acheni izo 😂😂😂 nitakufa kwakucheka wakuuKijana kwanini unakula Mboga bila Ugali ?
Swa bhnapKatika vyote hivyo hapo nimeona mtindi tu😋
Ungekuwa mwanamke waja wangekupopoa na hayo matango huko ndani😁
Hongera mpishi wetu.
Kwa jinsi alivyokatakata hivyo viungo tu sio mchezo, akipata mke ambaye sio pro unaona kuna usalama hapo?kisa?
😂😂😂 uvivuHapana mkuu mimi kwetu tulikuwa na ratiba ya kupika pia hatukukuwa tukiwa na dada wa kazi. Sema sasa nilipoanza kuishi alone kupika nikawa napata tabu.
Ni mara moja moja nilikuwa naweza kutulia nikapika msosi wa hatari lakini mostly chakula changu ilikuwa mihogo ya kukaanga na roast ya nyama na cocacola. Nilikuwa napika mwenyewe ndicho chakula ambacho nilikuwa naona kwangu ni rahisi kupika maana nilikuwa nanunua mihogo mingi naichemsha naiweka kwenye friji, same to nyama so nakuwa natoa napika fasta.
Nilikuwa nakula kusurvive na nilikuwa nina 59kg pekee sometimes 58
😂😂😂 acha izo kwamba ataishi kwa shidaKwa jinsi alivyokatakata hivyo viungo tu sio mchezo, akipata mke ambaye sio pro unaona kuna usalama hapo?
Hivyo ndo wanaume wengi tunavyojisikia tukiwaona wanawake mnaenda kazini.Kwa jinsi alivyokatakata hivyo viungo tu sio mchezo, akipata mke ambaye sio pro unaona kuna usalama hapo?