Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Haaahaa in Pierre LIQUID 🥃 voice 😅 itabaki juu itabaki kileleni.. Heineken.Nime
imagine hiyo nyama, na hivyo viazi plus viungo ningetoa roast la nyama na ugali fasta plus Heineken mbili za baridii......
Hivyo vitu sijawahi vielewa, sjui pizza burger.....
Ila mwamba Mwachiluwi hongera aseeh 👊
BRAZA CHOGO umepotelea wapi we mzee wa kike!
SECRETARY BIRD
Poor Brain
zerominus10
Kumbe unapenda ugali eeee....Mara moja moja kupika sio mbaya ila Mimi nina uwezo wa juu kwenye kupika mzee napika 😊☺️