Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Leo niliji mwaga mapema sana saa nne nipo home
Njaa ikawa inauma dah kuagiza chakula naona uvivu hapa nikaamua kwenda kwenye friji kutafuta chochote kitu
Nikanywa mtindi nikaona mayai ndio nikapata wazo la catress
Nikaanza kuandaa viazi mbatata nikachemsha baada ya kuiva nikaanza kusaga viazi kama ugali
Nilipo hakikisha vipo sawa nikaanda karoti hoho na kitunguu
Nikaviacha nikchukua nyama ambayo nilichemsha nikaisaga vizuri na brenda
Then nikachukua viazi ambavyo nimeviponda nika mix na viuongo vyangu
Ndipo nikaanza kutengeneza mvilingo kupitia mikono katikati nika weka nyama ile ilio sagwa hakikisha mkono unapaka mafuta
Na zilikuwa na muonekano uhu baada ya hapo
Nikachukua mayai niliyo yakologa vizuri unatumbikiza viazi vyako
Weka kimoja kimoja usiwe na haraka hapo njaa ishakata nikaona nimeshiba nikasema uhu ndio mlo wangu wa jioni
Nika nimemaliza na hii inahitaji muda sana kupika hivi
Sawa Half american
Njaa ikawa inauma dah kuagiza chakula naona uvivu hapa nikaamua kwenda kwenye friji kutafuta chochote kitu
Nikanywa mtindi nikaona mayai ndio nikapata wazo la catress
Nikaanza kuandaa viazi mbatata nikachemsha baada ya kuiva nikaanza kusaga viazi kama ugali
Nilipo hakikisha vipo sawa nikaanda karoti hoho na kitunguu
Nikaviacha nikchukua nyama ambayo nilichemsha nikaisaga vizuri na brenda
Then nikachukua viazi ambavyo nimeviponda nika mix na viuongo vyangu
Ndipo nikaanza kutengeneza mvilingo kupitia mikono katikati nika weka nyama ile ilio sagwa hakikisha mkono unapaka mafuta
Na zilikuwa na muonekano uhu baada ya hapo
Nikachukua mayai niliyo yakologa vizuri unatumbikiza viazi vyako
Nika nimemaliza na hii inahitaji muda sana kupika hivi
Sawa Half american