Nifah kwa hiyo tule tusivyovitaka jamani 🤣🤣🤣Kwa ninavyojua mimi hiyo nyama ungeichanganya kama ulivyofanya kwenye viungo na sio kuiweka katikati.
Hata hivyo umetisha, mwanaume kupika namna hiyo sio salama sana.
Kuna binti wa ukanda wa Majinn bila kumjia na jina Hilo atankataa.😂😂😂Sema Mbaruku hujuagi hata kujificha bwashee
Eeee Mungu saidia huyu kijana Mapenzi yanamfanya aweweseke kila sikuKuna binti wa ukanda wa Majinn bila kumjia na jina Hilo atankataa.
Wee na avatar yako mtu awezi jua kama unakunywa mtindi mkuuKisa tu napenda mtindi?🤣
Niko strong kama Schwarzenegger mkuu.Wee na avatar yako mtu awezi jua kama unakunywa mtindi mkuu
NakaziaKwa ninavyojua mimi hiyo nyama ungeichanganya kama ulivyofanya kwenye viungo na sio kuiweka katikati.
Hata hivyo umetisha, mwanaume kupika namna hiyo sio salama sana.
Wewe kenge wa blue upo? Weekend moja naomba unipikie kama hizo.Nakazia
siku nikipika hivyo ujue nimeleft groupWewe kenge wa blue upo? Weekend moja naomba unipikie kama hizo.
Na mkiashaanza kuongezeka, na ubora wa chakula unapungua; kama ulikuwa unakula nusu kuku peke yako, kwa sasa nusu kuku mtakula wawili.Waje pm nipo single
Kwanini haujui kupika? Njoo nikufundishe.Kwahiyo humu mi peke yangu sijui kupika 😹😹😹
Bora shogaangu unifundishe natia aibu, ulipotelea wapi 😻Kwanini haujui kupika? Njoo nikufundishe.
🤣 Unamchokoza kaka Mwachisiku nikipika hivyo ujue nimeleft group
Sijachokoza mtu ndio uhalisia, aache uvivu wa kuoa.🤣 Unamchokoza kaka Mwachi
Kisa wew unaita wadada wakusaidie kazi sioSijachokoza mtu ndio uhalisia, aache uvivu wa kuoa.
Acha uvivusiku nikipika hivyo ujue nimeleft group
uo mda ungeenda kununua then muda uliobaki utumie kutafuta pesa.Acha uvivu
Pesa inakuja tuuo mda ungeenda kununua then muda uliobaki utumie kutafuta pesa.
😹😹😹 Sio muda naona yuko mbioni, km yule George wa TikTok anavyopika had mi mdada naona aibu..!!Makubwa huyu hadi biriani atapika tupo hapa