Leo tule catress na juice

Leo tule catress na juice

Leo niliji mwaga mapema sana saa nne nipo home

Njaa ikawa inauma dah kuagiza chakula naona uvivu hapa nikaamua kwenda kwenye friji kutafuta chochote kitu

View attachment 3218744
Nikanywa mtindi nikaona mayai ndio nikapata wazo la catress

View attachment 3218747
Nikaanza kuandaa viazi mbatata nikachemsha baada ya kuiva nikaanza kusaga viazi kama ugali
View attachment 3218749
Nilipo hakikisha vipo sawa nikaanda karoti hoho na kitunguu
View attachment 3218751
Nikaviacha nikchukua nyama ambayo nilichemsha nikaisaga vizuri na brenda

View attachment 3218752
Then nikachukua viazi ambavyo nimeviponda nika mix na viuongo vyangu

View attachment 3218753
Ndipo nikaanza kutengeneza mvilingo kupitia mikono katikati nika weka nyama ile ilio sagwa hakikisha mkono unapaka mafuta

View attachment 3218754
Na zilikuwa na muonekano uhu baada ya hapo

View attachment 3218755
Nikachukua mayai niliyo yakologa vizuri unatumbikiza viazi vyako
View attachment 3218756 Weka kimoja kimoja usiwe na haraka hapo njaa ishakata nikaona nimeshiba nikasema uhu ndio mlo wangu wa jioni

View attachment 3218757
Nika nimemaliza na hii inahitaji muda sana kupika hivi

View attachment 3218758
Sawa Half american
Yummy yummy
 
nimependa hujaweka mambo ya vileo(pombe) japo haiondoi manaa KIJANA OA
 
nilikua sina bando shoo😘.
Hajambo kabisa nitakutumia umuone amekuwa mkubwa-.
😹😹 Acha zako wewe sema ulikuwa busy, unakosaje bando shoo?? Pesa kwako zimejaa.!

Nitumie nimuone baby wetu m-cute 😍😍
Ila shoo ulizaa, pale umewazalia pisi wanyamwezi wa baadae 😹
 
Kwahiyo unashibaje
😹😹😹 Sio muda naona yuko mbioni, km yule George wa TikTok anavyopika had mi mdada naona aibu..!!
Yule mfanyabiashara
Huyu mwachi sijui tusemeje
 
Kwahiyo unashibaje

Yule mfanyabiashara
Huyu mwachi sijui tusemeje
😹😹😹 Mwachi anatuhamasisha wavivu tupike, ila yule George fala kweli anaweka viungo vya pilau maji ya kuoga..!!
 
Back
Top Bottom