Leo tumalize ubishi; Ni msanii gani mkali kuliko wote pale WCB?

Leo tumalize ubishi; Ni msanii gani mkali kuliko wote pale WCB?

Asilimia kubwa wanaimba kama wanaimba kaswida tu,pale mwenye afadhali kdgo na mwenye vionjo tofaut ni rayvan boy pekee wengine wote waimba kaswida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Quenn Darleen anajua sana ingawa hapo kwa list umempotezea.
6d5521fb1dde3c31f66f210024ece5c0.jpg


-Ndumilakuwili-
Huu mbona kama uchafu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo maromboso hana muda mrefu pale WCB hafai kuwekwa kwa sasa.
Lakini uwezo wake tunaujua, anajua kuliko Queen D na Lavalava ndio maana nikamweka juu yao. Tunategemea makubwa kutoka kwake. Ila jina linabeba. Niliona wanamwita MBOSSO, Napendekeza ajibrand kama "MbossoClassic" itakuwa poa
 
Kuna kipindi nlimuona vany boy ka tishio ila hzi nyimbo mbili za mwisho mbeleko siju na zezeta kwa kweli sijazielewa my list is
Chibu
Mavoko
Harmonize
 
Muda mrefu kumekuwa na minong'ono ya chinichini kwamba kuna baadhi ya wasanii pale WCB wana uwezo mkubwa tatizo nyota wengine uwezo wao mdogo ila wanabebwa na kiki.


Wapo wanaodai Rayvann ndiye msanii mkali kuliko wote pale WCB, wapo wanaodai Richi Mavoko ni shiiiida yaani anajua mpaka anakera, vilevile wapo wanaovutiwa na uwezo wa uimbaji wa Lavalava pia wapo wanaodai Konde Boy Harmonize uwezo wake sio wa nchi hii .

Bila kusahau wapo wanaodai uwezo wa Diamond Platinums Chibu D Chibu De a.k.a Simbaaaa ni hakunaga kama yeye Tangu dunia iumbwe.


View attachment 584341Diamond Platnumz

View attachment 584342Rayvann

View attachment 584344Konde boy Harmonize

View attachment 584346Mavoko

View attachment 584347Lavalava.


Haya sasa tiririkeni.
wachunguzi wa mambo wanasema watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri muda mwingi hutumia kuzungumzia watu wengine (kucompare)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom