Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 869
- 961
Naunga mkono hoja hivi vichwa sio vya kawaidaSONGA.. NIKKI MBISHI, ONE The Incredible, na crew nzima ya Tamaduni muziki hawa jamaa hawafai ni vile wana bifu na media ya unyonyaji clouds ndo maana hawatoboi... nyimbo zao zmebaki kuwa MAKITABA ZA GETTO.
Cc: power, sifa ya uandishi, mahiri, na zingne nyingi skiliza.
Watu wabaya sema inabd wabadl sasa style ya nyimbo zao ili wauze... songa ali jaribu na mwendo tu ft jay mo.Naunga mkono hoja hivi vichwa sio vya kawaida
Upo sahihi mkuu haswa kwa huyo zaiid, kwangu mimi fid anaisoma #no. kwa huyo kijanaZaiid na One incredible wanaweza, endapo media zikianza kusupport Hip Hop.
Huyo asiyejua tofauti ya L na R kwenye mashairi yake?Deogratius Kisandu Masqo [emoji12]
Nafkir STAMINA yuko vizur zaid ya nusu, hata Fid analijua hilo
Ata Diamond alipanda na bit lake. FreshFid aliwahi kusema hakuna msanii wa bongo anaeweza kupanda na bit yake ajitokeza stamina akapanda na ile ya mwanza mwanza mbona fid alikubali, hiv haujawahi kuwaona wakipambanishwa jukwaani alafu anapandishwa mrembo wamchane vocal marakibao fid anachemka kwa yule dogo.
bonge la point mkuu, huyu jamaa ni kitu ingine na anawakalisha wote tanzania sema media kama hazim.....................Nikki mbishi ni the best hata fid na khaligraph wana appriciate
hapa sina ubishiSONGA.. NIKKI MBISHI, ONE The Incredible, na crew nzima ya Tamaduni muziki hawa jamaa hawafai ni vile wana bifu na media ya unyonyaji clouds ndo maana hawatoboi... nyimbo zao zmebaki kuwa MAKITABA ZA GETTO.
Cc: power, sifa ya uandishi, mahiri, na zingne nyingi skiliza.
Wakati Stamina mwenyewe anamuita Fareed BABAMbona fid mchache sana kwa Stamina fid anakaa!!
Tamaduni wako vizuri sana hawa jamaa, ila nao wanamkubali FareedSONGA.. NIKKI MBISHI, ONE The Incredible, na crew nzima ya Tamaduni muziki hawa jamaa hawafai ni vile wana bifu na media ya unyonyaji clouds ndo maana hawatoboi... nyimbo zao zmebaki kuwa MAKITABA ZA GETTO.
Cc: power, sifa ya uandishi, mahiri, na zingne nyingi skiliza.