Leo tumalize ubishi ni msanii gani wa rap anaweza fika hata nusu ya Fid Q

Brazili samba mapangala samba mbishi ana tamba na sultani tamba haina kubishana bwana yote sawa
 
Fid q is overrated!
Nakubaliana wewe 100%, jamaa is overrated kupitiliza.

1. Nikki mbishi (lyrics, flows, metaphors, word plays na freestyles)
2. One incredible (flows, lyrics, metaphors, wordplays, and jamaa ana flow kwa lugha ya kiingereza kuliko huyo fid)


Hawa jamaa wanamkalisha Fid vizuri tu na anatulia.
 
One the incredible, Nikki Mbishi, Stamina
 
Sema tuanze ubishi,siyo tumalize ila kwa sbb ni ngosha haina haja sana Kwani wanajikubali wenyeww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…