Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Nina uhakika, nawe umechezea bakora.
Maana akili zako fyatu.
Maana akili zako fyatu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀.Mboko hoyeee.Makongoro nae alikula mboko?
Dadeki, chezea Mila nini.....ila very interesting storyNaam mila na utamaduni
Poleni,kumbe mmeshazika? Nilipanga niwepo msibani,nilikuwa na marehemu Mwanza kama miezi mitatu iliyopita.Maziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.
Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.
Tukaenda Butiama ikafanyika misa,lakini khutba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba Ile misa kidogo isifanyike.
Hata hivyo,tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.
Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa,hakutuachia hela. Lakini,alikuwa anaheshimika,na yeye hayupo sasa,kwa hiyo ile heshima yake,yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."
Baada ya mabishano ya muda mrefu,watu pale wamechapwa viboko.
It is a short step from mirth to melancholy.
Hivyo viboko havikusibiri matanga yaishe? Poleni Nyerere family. Apumzike kwa amani marhum wetuMaziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.
Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.
Tukaenda Butiama ikafanyika misa,lakini khutba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba Ile misa kidogo isifanyike.
Hata hivyo,tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.
Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa,hakutuachia hela. Lakini,alikuwa anaheshimika,na yeye hayupo sasa,kwa hiyo ile heshima yake,yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."
Baada ya mabishano ya muda mrefu,watu pale wamechapwa viboko.
Makongoro NyerereTupe list ya waliochapwa viboko mkuu
Huyu ilitakiwa apigwe nyingi maaana majuzi tu mtoto wake kazikwa ukweni.Makongoro Nyerere
Dah, how comes possible? Na kizungu juuHuyu ilitakiwa apigwe nyingi maaana majuzi tu mtoto wake kazikwa ukweni.
Ni bro wetu Ganesh huyu?Ulibadili id?
Haunaga unafiki mzee.
Poleni mzee
Aibu sana hii..Dah, how comes possible? Na kizungu juu
Shinyanga mlikuwa Parokia gani? Kama ni yule Paroko wangu yuko sahihi!Maziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.
Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.
Tukaenda Butiama ikafanyika misa,lakini khutba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba Ile misa kidogo isifanyike.
Hata hivyo,tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.
Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa,hakutuachia hela. Lakini,alikuwa anaheshimika,na yeye hayupo sasa,kwa hiyo ile heshima yake,yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."
Baada ya mabishano ya muda mrefu,watu pale wamechapwa viboko.
Inawezekana we angalia mwandiko tu ni uleule wa Ganesh aka Andrew Nyerere.Ni bro wetu Ganesh huyu?
Ni kweli vifo 2 kwa ajali ndani ya muda mfupi ilibidi wazee wakae wajadili hili na siyo kuanza kuchapana. Inaweza kuwa wazee waliotangulia hawajaridhika na jinsi mambo yanavyoendaSiku nyingine muwe na adabu na mufuate tamaduni zenu...Watu wawili wamekufa kwa vifo vya ajali.