Leo tumemzika mpendwa Edward Magige kijijini Butiama

Leo tumemzika mpendwa Edward Magige kijijini Butiama

Ni kweli vifo 2 kwa ajali ndani ya muda mfupi ilibidi wazee wakae wajadili hili na siyo kuanza kuchapana. Inaweza kuwa wazee waliotangulia hawajaridhika na jinsi mambo yanavyoenda
Kuna tatizo sehemu hawa vijana wakipata uongozi...Kumbuka yule balozi ndugu yake Maghayo alipata kesi huko nje kalitia taifa aibu kwa kesi yake ya hovyo akaja kufa vibaya ,gari imeungua na yeye kaiva kama nyama
 
Maziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.
Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.
Tukaenda Butiama ikafanyika misa,lakini khutba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba Ile misa kidogo isifanyike.
Hata hivyo,tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.
Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa,hakutuachia hela. Lakini,alikuwa anaheshimika,na yeye hayupo sasa,kwa hiyo ile heshima yake,yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."
Baada ya mabishano ya muda mrefu,watu pale wamechapwa viboko.
GENTAMYCINE hajala bakora? Maana huwa anajiona yeye ndio Andrew Nyerere
 
Kajamba Nani tusiojulikana, tusioenda jumuiha tukifa paroko anachomoa, kwakuwa hao majina paroko kakubali kufanya Misa, hakuna usawa.
 
Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa,hakutuachia hela. Lakini,alikuwa anaheshimika,na yeye hayupo sasa,kwa hiyo ile heshima yake,yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."
Baada ya mabishano ya muda mrefu,watu pale wamechapwa viboko.
Awaachie hela za nini? Mlikuwa na mkataba naye? Alifanya kosa kula na kumaliza jasho lake? Tafuteni za kwenu mle, Nyerere alikula zake hakula za ukoo
 
Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.
Tukaenda Butiama ikafanyika misa,lakini khutba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba Ile misa kidogo isifanyike.
Hawa maparoko wahuni tu, ni bora asiyekwenda kusali kuliko wao na tabia zao, je kama marehemu angepewa nafasi ya kusema jambo juu yao wangeficha wapi nyuso zao? Hasira yao juu ya marehemu ni kukosa sadaka tu nothing else
 
Maziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.
Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.
Tukaenda Butiama ikafanyika misa,lakini khutba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba Ile misa kidogo isifanyike.
Hata hivyo,tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.
Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa,hakutuachia hela. Lakini,alikuwa anaheshimika,na yeye hayupo sasa,kwa hiyo ile heshima yake,yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."
Baada ya mabishano ya muda mrefu,watu pale wamechapwa viboko.
Wewe ni Andrew Nyerere?

Kama ni wewe habari za siku mkuu.
 
Maziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.

Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.

Tukaenda Butiama ikafanyika misa, lakini hotuba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba ile misa kidogo isifanyike.

Hata hivyo, tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.

Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa, hakutuachia hela. Lakini, alikuwa anaheshimika, na yeye hayupo sasa, kwa hiyo ile heshima yake, yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."

Baada ya mabishano ya muda mrefu, watu pale wamechapwa viboko.
Heee balaa
 
Babu aliwaachia heshima badala ya pesa
Kabisa.
JamiiForums-1837794143.jpg
 
Maziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.

Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.

Tukaenda Butiama ikafanyika misa, lakini hotuba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba ile misa kidogo isifanyike.

Hata hivyo, tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.

Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa, hakutuachia hela. Lakini, alikuwa anaheshimika, na yeye hayupo sasa, kwa hiyo ile heshima yake, yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."

Baada ya mabishano ya muda mrefu, watu pale wamechapwa viboko.
Mkampa paroko fedha pamoja na kwamba alimgombeza maiti bila kuhoji?
 
Maziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.

Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.

Tukaenda Butiama ikafanyika misa, lakini hotuba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba ile misa kidogo isifanyike.

Hata hivyo, tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.

Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa, hakutuachia hela. Lakini, alikuwa anaheshimika, na yeye hayupo sasa, kwa hiyo ile heshima yake, yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."

Baada ya mabishano ya muda mrefu, watu pale wamechapwa viboko.
Ni vyema na vizuri sana. Ila tukipata video ya mmoja wa hao wanaofanya vitendo vya hovyo, akipokea adhabu yake ya viboko, itasaidia sana wengine kuachana na maovu yao kama hayo.
 
Back
Top Bottom