Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kuna tatizo sehemu hawa vijana wakipata uongozi...Kumbuka yule balozi ndugu yake Maghayo alipata kesi huko nje kalitia taifa aibu kwa kesi yake ya hovyo akaja kufa vibaya ,gari imeungua na yeye kaiva kama nyamaNi kweli vifo 2 kwa ajali ndani ya muda mfupi ilibidi wazee wakae wajadili hili na siyo kuanza kuchapana. Inaweza kuwa wazee waliotangulia hawajaridhika na jinsi mambo yanavyoenda
NyerereNi bro wetu Ganesh huyu?
GENTAMYCINE hajala bakora? Maana huwa anajiona yeye ndio Andrew NyerereMaziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.
Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.
Tukaenda Butiama ikafanyika misa,lakini khutba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba Ile misa kidogo isifanyike.
Hata hivyo,tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.
Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa,hakutuachia hela. Lakini,alikuwa anaheshimika,na yeye hayupo sasa,kwa hiyo ile heshima yake,yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."
Baada ya mabishano ya muda mrefu,watu pale wamechapwa viboko.
Awaachie hela za nini? Mlikuwa na mkataba naye? Alifanya kosa kula na kumaliza jasho lake? Tafuteni za kwenu mle, Nyerere alikula zake hakula za ukooTukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa,hakutuachia hela. Lakini,alikuwa anaheshimika,na yeye hayupo sasa,kwa hiyo ile heshima yake,yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."
Baada ya mabishano ya muda mrefu,watu pale wamechapwa viboko.
Hawa maparoko wahuni tu, ni bora asiyekwenda kusali kuliko wao na tabia zao, je kama marehemu angepewa nafasi ya kusema jambo juu yao wangeficha wapi nyuso zao? Hasira yao juu ya marehemu ni kukosa sadaka tu nothing elseKwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.
Tukaenda Butiama ikafanyika misa,lakini khutba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba Ile misa kidogo isifanyike.
Wewe ni Andrew Nyerere?Maziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.
Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.
Tukaenda Butiama ikafanyika misa,lakini khutba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba Ile misa kidogo isifanyike.
Hata hivyo,tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.
Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa,hakutuachia hela. Lakini,alikuwa anaheshimika,na yeye hayupo sasa,kwa hiyo ile heshima yake,yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."
Baada ya mabishano ya muda mrefu,watu pale wamechapwa viboko.
Heee balaaMaziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.
Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.
Tukaenda Butiama ikafanyika misa, lakini hotuba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba ile misa kidogo isifanyike.
Hata hivyo, tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.
Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa, hakutuachia hela. Lakini, alikuwa anaheshimika, na yeye hayupo sasa, kwa hiyo ile heshima yake, yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."
Baada ya mabishano ya muda mrefu, watu pale wamechapwa viboko.
Labda RC naye kuchapwa bakoraTupe list ya waliochapwa viboko mkuu
Kabisa.Babu aliwaachia heshima badala ya pesa
😆😆milanga
Yule ndo kichekesho Cha ukoo. Najua alikandwa mboko za madako Kama Kenda hivi.🤣🤣🤣🤣🤣makongoro hakosekan kwenye hizo mboko😅
Wa kwanza alikuwa yule mzee wa koti linalopishana vishikizo.Tupe list ya waliochapwa viboko mkuu
Mkampa paroko fedha pamoja na kwamba alimgombeza maiti bila kuhoji?Maziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.
Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.
Tukaenda Butiama ikafanyika misa, lakini hotuba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba ile misa kidogo isifanyike.
Hata hivyo, tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.
Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa, hakutuachia hela. Lakini, alikuwa anaheshimika, na yeye hayupo sasa, kwa hiyo ile heshima yake, yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."
Baada ya mabishano ya muda mrefu, watu pale wamechapwa viboko.
Ni vyema na vizuri sana. Ila tukipata video ya mmoja wa hao wanaofanya vitendo vya hovyo, akipokea adhabu yake ya viboko, itasaidia sana wengine kuachana na maovu yao kama hayo.Maziko yamekwisha kwa amani tunashukuru.
Kwanza tulikuwa Shinyanga tukamwita paroko kufanya ibada. Paroko hakuongea chochote zaidi ya kumgombeza maiti kwa tabia yake ya kutopenda kwenda kanisani alipokuwa hai.
Tukaenda Butiama ikafanyika misa, lakini hotuba ya paroko ilikuwa inaonyesha ulikuwepo mgogoro na kwamba ile misa kidogo isifanyike.
Hata hivyo, tumefanya misa na tumezika. Baada ya hapo mtu akatoa tangazo wanaukoo tukutane baada ya watu kutawanyika.
Tukafanya mkutano wa ukoo. Mtu akatoa hoja pale:"Mwalimu Nyerere amekufa, hakutuachia hela. Lakini, alikuwa anaheshimika, na yeye hayupo sasa, kwa hiyo ile heshima yake, yote ni yetu. Lakini watu wengine hapa wanafanya mambo ya ovyo. Kwa hiyo wachapwe viboko."
Baada ya mabishano ya muda mrefu, watu pale wamechapwa viboko.