😹😹😹 Slow slow mbele kuna mteremko mkaliAu huenda kuna kijumba au vibanda anavipigia hesabu kuzani Mwanaume atatangulia kufa ili yeye awe mrithi.
Pengine kapiga hesabu akilianzisha la kuondoka itakuwa ngumu kugawana pasu to pasu sababu hajatoa hata 100 ya kujenga hivyo vijumba.
Kweli? 😹😹😹🤣🤣🤣🤣🤣nimetoka kuzima taa km nusu saa alafu nakutana na hii comment..dah!
Tatizo nyie mna vichwa viwili lazima vitapingana kwenye maamuzi 😹😹😹Tukisema sisi wanaume tubaki na hela zetu afu nyie wanawake mbaki na mbususu zenu walahi nyie ndo mtakuwa wa Kwanza kutupa taulo na kusurrender
Kwa sababu mtateseka Sana😂
Bora niendelee kununuaJidanganye tu hapo ulipo kuwa hata kama huna Hela basi Mwanamke atakupenda na kukuvumilia Maishani sawa?
litutumbwe Mali yako hii usiseme sikukuambia😹😹😹 Slow slow mbele kuna mteremko mkali
Kwamba waendelee kununuliwa?Mjadala umefungwa.
" women make rules for the broke and break rules for the rich guys" Very powerful..Asante sana kwa kunialika hapa.
Wanachoangalia wanawake ni hela. Kwa ajiri ya pesa wanawake wanaweza kufanya chochote.Kwa ajiri ya pesa mwanamke anaweza akavumilia chochote.
M-cheat atamlaumu mchepuko wako, mpige atavumilia, mwambie mchepuko wako ana mimba atajiliza liza lakini hawezi kukuacha. Ukiwa na pesa mwanamke yupo tayari kuwa mtumwa wako. Women make rules for the broke and break rules for rich guys
Wanawake wote ni makahaba, wanajiuza na wananunulika ni suala la mwanaume kumudu bei tu.
🖕🏿litutumbwe Mali yako hii usiseme sikukuambia
Mwanamke akisema anataka "security " maana yake ndio hiyo...pesa, maisha safi!!
Wakat anavumilia naendelea,kutibua tu mtaro,siyo? Raha sanaThubutu ukiona anakuvumilia bila hela ujue ameshaona mbeleni utatusua,chezea mwanamke wewe
Naunga mkono hojaMwanamke akisema anataka "security " maana yake ndio hiyo...pesa, maisha safi!!
Wanawake hawaelewekiHuku mtaani mbona maisha yanaendelea kama kawaida wenye pesa na wasio na pesa wote wanatia mimba na kupewa tunda bila shida.
Binafsi najua mwanamke anataka upige kazi vizuri hadi "magodoro yaishe"!in magoti's voice)mengine ni ziada
Hizi ndio hoja za kujadili kila siku, don't expect anything new, otherwise kuna majukwaa na hoja nyingine tofauti kabisa za kujadili.TThis is toomuch,mnaboa mno. Kila siku nyuzi za wanawake, nara this mar that mnaboa
Kabiiiiiiiiiisa lo
Kama Mimi vile.Bora niendelee kununua