Leo tunafunga rasmi mjadala kwa Kukubaliana kuwa ni kweli kabisa Wanawake wote Kipaumbele chao kwa Wanaume ni Pesa na Maisha mazuri na siyo Mengineyo

Leo tunafunga rasmi mjadala kwa Kukubaliana kuwa ni kweli kabisa Wanawake wote Kipaumbele chao kwa Wanaume ni Pesa na Maisha mazuri na siyo Mengineyo

Asante sana kwa kunialika hapa.

Wanachoangalia wanawake ni hela. Kwa ajiri ya pesa wanawake wanaweza kufanya chochote.Kwa ajiri ya pesa mwanamke anaweza akavumilia chochote.

M-cheat atamlaumu mchepuko wako, mpige atavumilia, mwambie mchepuko wako ana mimba atajiliza liza lakini hawezi kukuacha. Ukiwa na pesa mwanamke yupo tayari kuwa mtumwa wako. Women make rules for the broke and break rules for rich guys

Wanawake wote ni makahaba, wanajiuza na wananunulika ni suala la mwanaume kumudu bei tu.
" women make rules for the broke and break rules for the rich guys" Very powerful..
 
Huku mtaani mbona maisha yanaendelea kama kawaida wenye pesa na wasio na pesa wote wanatia mimba na kupewa tunda bila shida.
Binafsi najua mwanamke anataka upige kazi vizuri hadi "magodoro yaishe"!in magoti's voice)mengine ni ziada
Wanawake hawaeleweki

Mke wa bosi wa TRA analiwa na msukuma mkokoteni,kisa me ana kitambo na shoo anapiga dakika 2 chaliii

Mke wa msukuma mkokoteni analiwa na bosi wa TRA kisa mwanamke wa msukuma mkokoteni anatafuta maisha mazuri

Kikubwa kila.mtu anakula anapopanda
 
Back
Top Bottom