toa mtazamo wako mkuu.
endelea kutoa mtazamo mkuu.Mh...kunywa juice ya mua
endelea na mahesabu.He he mie nahesabu kura atakayeshinda ndio mwanaume bana
Sawa mkuuendelea na mahesabu.
Usifananishe wanaume Wa dar Na vitu vya ajabu
mtazamo wa pili wanaume wa mkoani huonekana wagumu, wasio watanashati, wala vyakula vigumu ugali maharage yaani watu wa harubu sana.