Black Opal
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 233
- 298
Wakuu kwema?
Mada inajieleza kabisa hapo. Leo ni tuwape Mods wa JF pamoja na Muanzilishi wa JF, kioo cha wengi Bwana Maxence Melo maua yao. Sema jinsi Mods na Melo wanavyosaida siku yako iwe nzuri kila unapoingia JF. Ulifanyiwa kitu gani kikakupendeza mpaka ukatamani uwatoe hata ka ofa ka kupata msosi kwa Shishi Fudi?
Leo ndio siku ya kuwapa maua yao. Twende kazi...
NB: Uzi huu ni kwaajili ya kuwapa maua yao tu, kama unataka kulalamika nenda kwenye uzi ule wa malalamiko ukatapike kule.
Mada inajieleza kabisa hapo. Leo ni tuwape Mods wa JF pamoja na Muanzilishi wa JF, kioo cha wengi Bwana Maxence Melo maua yao. Sema jinsi Mods na Melo wanavyosaida siku yako iwe nzuri kila unapoingia JF. Ulifanyiwa kitu gani kikakupendeza mpaka ukatamani uwatoe hata ka ofa ka kupata msosi kwa Shishi Fudi?
Leo ndio siku ya kuwapa maua yao. Twende kazi...
NB: Uzi huu ni kwaajili ya kuwapa maua yao tu, kama unataka kulalamika nenda kwenye uzi ule wa malalamiko ukatapike kule.