Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
- #21
Naloli
Nijere limafwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naloli
No research, no right to speak...! Hebu nipe jina lake,simu yake,na anapopatikana nikafanye research then ndo ntaongea..
bar gani?nataka nikafanye "kautafiti"
No research, no right to speak...! Hebu nipe jina lake,simu yake,na anapopatikana nikafanye research then ndo ntaongea..
mbombo ngafu........
fijho kangi
abhandu pa kisu hiki mma bhali pasima nkamu...
Nimeshajiuliza sana lkn sipati jibu, huyu binti ni mhudumu wa bar, mzuri kishenzi...ila inasemekana ni HIV+....
Yani ukimgegeda leo, kesho yake lazima upate pesa, watu 9 hadi sasa wameshamgegeda na wamepata cash kesho yake!!! utakuta kuna mazingira fulani hivi ambayo yatakufanya upate pesa...kama ulikua unamdai mtu na hataki kukulipa utakuta anakupigia simu ukachukue ela yako, kama ulicheza michezo ya kubahatisha utakuta umeshinda, au unapigiwa simu tu na mshkaji wako wa karibu anakwambia "mwanangu njo nikutoe kuna deal nimepiga nimeingiza mkwanja wa maana!", au kama ni mwanafunzi wazazi wako wanakukatia mkwanja tu bila kuwaomba!!!
Kuna mzee mmoja ni mtumishi wa Serikali ndo haambiwi hasikii, kamng'ang'ania balaa, daily anavuta mkwanja na vyeo anapandishwa!
Na mm nimeanza kushawishika kumgegeda, kwani condom si zipo? kwanza sio lazima kupata UKIMWI ukimuandaa mwenzako vizuri ili kuepuka michubuko! au mnaniambiaje wana jamvi?
Hivi huyu manzi atakua mshirikina au ana karama tu???
wanaume nyinyi?kuna ubaya gani uki work hard?badala ya kumtumia huyo dada?njaa mbaya jamani.yeye anawapanga hana wasiwasi,na nyinyi mnajua.inataka moyo.
Namba nambaaa fasta. .....wadeni wangu....