Leo ukimgegeda, kesho yake unapata mkwanja~ (Ushirikina au Karama?)

Leo ukimgegeda, kesho yake unapata mkwanja~ (Ushirikina au Karama?)

Wanaume sasa tumekuwa endangered species, kila kukicha tunazidi kuadimika.
Kama Serikali isipokuwa makini tutatoweka miaka 20 ijayo kwenye uso wa Dunia na kubakia Wa-kiume!

Au siyo Babu Dark City?


Naona unataka kuniuzia kesi mkuu.

Ngoja niombe msaada kwa wadau.

Cc: @FP, Kaizer, gfsonwin

Babu DC!0
 
Last edited by a moderator:
..ukitumia kinga hupati hela,nenda mbichi mbichi sio mkavu,go,go,baby goggogggggooooo....do it meeeen,note; choose rangi ya jeneza na utazikwa wapi sikuhizi kumezuka mtindo wa kugombea maiti hasa za ushirikina...

Ha ha ha
 
Naona unataka kuniuzia kesi mkuu.

Ngoja niombe msaada kwa wadau.

Cc: @FP, Kaizer, gfsonwin

Babu DC!0

Siku hizi Babu umekuwa muoga sana au ndiyo machweo yanayoyoma.
Naona mpaka vijana siku hizi wanapimishana msuli na wewe, si ulimuona Husninyo anakwambia
unamdogosha........... Madame B anakuvuta shati eti uende naye chimbo kuleee!!

Babu hvi Simba hata akizeeka ndiyo hata kuonyesha windo lilipo anashindwa?
 
Last edited by a moderator:
Kani ni helagan wao wanayo ipata sasa uki mgegeda ukapata kalaki 2au3 katakusaidia nini.?
Izo hela za namna iyo zinatokaga wapi ahse.
Kweli ndo nime amini uvivu umetawala vijana wa kileo so kaz hufany unawaza kupata hela za halina chaa.
Bora uwa uzie wa arabu kaabang yako utapata hela.
Mmh apa nimeshangasana by the way go on liki kubumia is up to you.
 
Ukianza kuharisha uje haraka kuanzisha
thread ya kutuhabaribisha afya yako
Madabida nasikia kaongeza uzarishaji.
 
Mimi na "cha wote" ni tofauti kama ilivyo giza na mwanga
 
unajua, unapopanga future ya maisha yako inabidi uangalie miongoni mwa mambo mengine masuala ya future ya familia yako. utafanya hivyo kwa mtu wa aina hiyo ili upate pesa. Ndiyo utapata, lakini fedha hiyo utaitumia kwa muda gani?.... fikiria familia yako, utai support hadi lini?... Utafaidika kwa muda mfupi lakini majuto ni mjukuu.
 
Badala ya watu kufanya kazi kwa bidii na ubunifu wanategemea miujiza na bahati za wenzao.
 
Kani ni helagan wao wanayo ipata sasa uki mgegeda ukapata kalaki 2au3 katakusaidia nini.?
Izo hela za namna iyo zinatokaga wapi ahse.
Kweli ndo nime amini uvivu umetawala vijana wa kileo so kaz hufany unawaza kupata hela za halina chaa.
Bora uwa uzie wa arabu kaabang yako utapata hela.
Mmh apa nimeshangasana by the way go on liki kubumia is up to you.
huyu bwana si bure...... ana matatizo.
 
Na hawa wengine unagegenda kesho huna kazi, pesa inakimbia, balaa, ajali na mikosi inakupata wanakuwaje? chanzo chake nini hasa?
 
shetani bwana anajua sana mbinu zakuwakamata watu, haya kila la kheri
 
Siku hizi Babu umekuwa muoga sana au ndiyo machweo yanayoyoma.
Naona mpaka vijana siku hizi wanapimishana msuli na wewe, si ulimuona Husninyo anakwambia
unamdogosha........... Madame B anakuvuta shati eti uende naye chimbo kuleee!!

Babu hvi Simba hata akizeeka ndiyo hata kuonyesha windo lilipo anashindwa?

Mhhhhhhhhhhhh,...Kunguru mwoga baba.....

Babu DC!!
 

huyo ana kismati ya hela
angekua mzima hakiyanani
ningevuta jiko lol!!

Haya mambo napata taabu kuyaamini.

Ila kuna jamaa mmoja kijijini kwetu (RIP K) ambaye alikuwa anaaminika kwamba ana kismati cha kutisha....Akionja pombe ya mtu siku hiyo anauza yote hata akiilowesha na maji bado watu wanaigombania. Akina mama wauza pombe za kienyeji walikuwa wakimwona maeneo yao asubuhi lazima wampe aonje...

Nahisi walimwonjesha hadi kila kitu mpaka mshikaji akaondoka na kilo tatu masikini...

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom