Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 795
Hii nitakupa at your own risk, mama kijacho akishtukia nitamwambia ulinibaka!
hahaaa kama ni hivyo karama yako kaa nayo tu,tusimhurt mama Kijacho,ngoja niendelee kutafuta sehem nyingine......,
si tumeambiwa tusichoke kutafuta........,
ukikosa kabisa sehemu nyingine uniambie niangalie namna ya kumwibia mama kijacho walau mara moja tu
No research, no right to speak...! Hebu nipe jina lake,simu yake,na anapopatikana nikafanye research then ndo ntaongea..
hahaaaaa kule watapatikana wengi sana maana watu wana sress na kazi + kupandishwa vyeo....
eti Amicus Curiae hujasikia jinsia ya tofauti na hiyo ya kike yenye karama na mimi unielekeze.......
mkuu nakubaliana na wewe 100%mtoa mada yuko sahihi kuna wenye mikosi na wenye bahati, huyo ni mmojawapo ya wenye bahati
Meaning?
Hii mpya....udadisi ulimuua paka....usisahau hilo. Ukimaliza kesho yake ukapigiwa simu za watu wamejitolea kukununulia jeneza zuri na kugharamia mazishi uone ni bahati pia.Nimeshajiuliza sana lkn sipati jibu, huyu binti ni mhudumu wa bar, mzuri kishenzi...ila inasemekana ni HIV+....
Yani ukimgegeda leo, kesho yake lazima upate pesa, watu 9 hadi sasa wameshamgegeda na wamepata cash kesho yake!!! utakuta kuna mazingira fulani hivi ambayo yatakufanya upate chapaa...kama ulikua unamdai mtu na hataki kukulipa utakuta anakupigia simu ukachukue ela yako, kama ulicheza michezo ya kubahatisha utakuta umeshinda, au unapigiwa simu tu na mshkaji wako wa karibu anakwambia "mwanangu njo nikutoe kuna deal nimepiga nimeingiza mkwanja wa maana!", au kama ni mwanafunzi wazazi wako wanakukatia mkwanja tu bila kuwaomba!!!
Kuna mzee mmoja ni mtumishi wa Serikali ndo haambiwi hasikii, kamng'ang'ania balaa, daily anavuta mkwanja na vyeo anapandishwa!
Na mm nimeanza kushawishika kumgegeda, kwani condom si zipo? kwanza sio lazima kupata UKIMWI ukimuandaa mwenzako vizuri ili kuepuka michubuko! au mnaniambiaje wana jamvi?
Hivi huyu manzi atakua mshirikina au ana karama tu???
it is a Lehman thinking based on correct reasoning ni kwamba three things zimetokea simultenously : umemgegeda, umepata maambukizi na settlement ya deni vyote simultenously so are you among them? pole ? it may be just hear sayNimeshajiuliza sana lkn sipati jibu, huyu binti ni mhudumu wa bar, mzuri kishenzi...ila inasemekana ni HIV+....
Yani ukimgegeda leo, kesho yake lazima upate pesa, watu 9 hadi sasa wameshamgegeda na wamepata cash kesho yake!!! utakuta kuna mazingira fulani hivi ambayo yatakufanya upate chapaa...kama ulikua unamdai mtu na hataki kukulipa utakuta anakupigia simu ukachukue ela yako, kama ulicheza michezo ya kubahatisha utakuta umeshinda, au unapigiwa simu tu na mshkaji wako wa karibu anakwambia "mwanangu njo nikutoe kuna deal nimepiga nimeingiza mkwanja wa maana!", au kama ni mwanafunzi wazazi wako wanakukatia mkwanja tu bila kuwaomba!!!
Kuna mzee mmoja ni mtumishi wa Serikali ndo haambiwi hasikii, kamng'ang'ania balaa, daily anavuta mkwanja na vyeo anapandishwa!
Na mm nimeanza kushawishika kumgegeda, kwani condom si zipo? kwanza sio lazima kupata UKIMWI ukimuandaa mwenzako vizuri ili kuepuka michubuko! au mnaniambiaje wana jamvi?
Hivi huyu manzi atakua mshirikina au ana karama tu???
Nimeshajiuliza sana lkn sipati jibu, huyu binti ni mhudumu wa bar, mzuri kishenzi...ila inasemekana ni HIV+....
Yani ukimgegeda leo, kesho yake lazima upate pesa, watu 9 hadi sasa wameshamgegeda na wamepata cash kesho yake!!! utakuta kuna mazingira fulani hivi ambayo yatakufanya upate chapaa...kama ulikua unamdai mtu na hataki kukulipa utakuta anakupigia simu ukachukue ela yako, kama ulicheza michezo ya kubahatisha utakuta umeshinda, au unapigiwa simu tu na mshkaji wako wa karibu anakwambia "mwanangu njo nikutoe kuna deal nimepiga nimeingiza mkwanja wa maana!", au kama ni mwanafunzi wazazi wako wanakukatia mkwanja tu bila kuwaomba!!!
Kuna mzee mmoja ni mtumishi wa Serikali ndo haambiwi hasikii, kamng'ang'ania balaa, daily anavuta mkwanja na vyeo anapandishwa!
Na mm nimeanza kushawishika kumgegeda, kwani condom si zipo? kwanza sio lazima kupata UKIMWI ukimuandaa mwenzako vizuri ili kuepuka michubuko! au mnaniambiaje wana jamvi?
Hivi huyu manzi atakua mshirikina au ana karama tu???
mweeh!! Kyala atutuleghe itolo...