Leo ukimgegeda, kesho yake unapata mkwanja~ (Ushirikina au Karama?)

Leo ukimgegeda, kesho yake unapata mkwanja~ (Ushirikina au Karama?)

Hii nitakupa at your own risk, mama kijacho akishtukia nitamwambia ulinibaka!

hahaaa kama ni hivyo karama yako kaa nayo tu,tusimhurt mama Kijacho,ngoja niendelee kutafuta sehem nyingine......,
si tumeambiwa tusichoke kutafuta........,
 
hahaaa kama ni hivyo karama yako kaa nayo tu,tusimhurt mama Kijacho,ngoja niendelee kutafuta sehem nyingine......,
si tumeambiwa tusichoke kutafuta........,

ukikosa kabisa sehemu nyingine uniambie niangalie namna ya kumwibia mama kijacho walau mara moja tu
 
Nimeshajiuliza sana lkn sipati jibu, huyu binti ni mhudumu wa bar, mzuri kishenzi...ila inasemekana ni HIV+....

Yani ukimgegeda leo, kesho yake lazima upate pesa, watu 9 hadi sasa wameshamgegeda na wamepata cash kesho yake!!! utakuta kuna mazingira fulani hivi ambayo yatakufanya upate chapaa...kama ulikua unamdai mtu na hataki kukulipa utakuta anakupigia simu ukachukue ela yako, kama ulicheza michezo ya kubahatisha utakuta umeshinda, au unapigiwa simu tu na mshkaji wako wa karibu anakwambia "mwanangu njo nikutoe kuna deal nimepiga nimeingiza mkwanja wa maana!", au kama ni mwanafunzi wazazi wako wanakukatia mkwanja tu bila kuwaomba!!!

Kuna mzee mmoja ni mtumishi wa Serikali ndo haambiwi hasikii, kamng'ang'ania balaa, daily anavuta mkwanja na vyeo anapandishwa!

Na mm nimeanza kushawishika kumgegeda, kwani condom si zipo? kwanza sio lazima kupata UKIMWI ukimuandaa mwenzako vizuri ili kuepuka michubuko! au mnaniambiaje wana jamvi?

Hivi huyu manzi atakua mshirikina au ana karama tu???
Hii mpya....udadisi ulimuua paka....usisahau hilo. Ukimaliza kesho yake ukapigiwa simu za watu wamejitolea kukununulia jeneza zuri na kugharamia mazishi uone ni bahati pia.
 
Nasikia ukitaka nyingi zaidi piga kavukavu ingia kwenye munyu Kesho yake kamilionea!

Go bro!!
 
Nimeshajiuliza sana lkn sipati jibu, huyu binti ni mhudumu wa bar, mzuri kishenzi...ila inasemekana ni HIV+....

Yani ukimgegeda leo, kesho yake lazima upate pesa, watu 9 hadi sasa wameshamgegeda na wamepata cash kesho yake!!! utakuta kuna mazingira fulani hivi ambayo yatakufanya upate chapaa...kama ulikua unamdai mtu na hataki kukulipa utakuta anakupigia simu ukachukue ela yako, kama ulicheza michezo ya kubahatisha utakuta umeshinda, au unapigiwa simu tu na mshkaji wako wa karibu anakwambia "mwanangu njo nikutoe kuna deal nimepiga nimeingiza mkwanja wa maana!", au kama ni mwanafunzi wazazi wako wanakukatia mkwanja tu bila kuwaomba!!!

Kuna mzee mmoja ni mtumishi wa Serikali ndo haambiwi hasikii, kamng'ang'ania balaa, daily anavuta mkwanja na vyeo anapandishwa!

Na mm nimeanza kushawishika kumgegeda, kwani condom si zipo? kwanza sio lazima kupata UKIMWI ukimuandaa mwenzako vizuri ili kuepuka michubuko! au mnaniambiaje wana jamvi?

Hivi huyu manzi atakua mshirikina au ana karama tu???
it is a Lehman thinking based on correct reasoning ni kwamba three things zimetokea simultenously : umemgegeda, umepata maambukizi na settlement ya deni vyote simultenously so are you among them? pole ? it may be just hear say
 
Nimeshajiuliza sana lkn sipati jibu, huyu binti ni mhudumu wa bar, mzuri kishenzi...ila inasemekana ni HIV+....

Yani ukimgegeda leo, kesho yake lazima upate pesa, watu 9 hadi sasa wameshamgegeda na wamepata cash kesho yake!!! utakuta kuna mazingira fulani hivi ambayo yatakufanya upate chapaa...kama ulikua unamdai mtu na hataki kukulipa utakuta anakupigia simu ukachukue ela yako, kama ulicheza michezo ya kubahatisha utakuta umeshinda, au unapigiwa simu tu na mshkaji wako wa karibu anakwambia "mwanangu njo nikutoe kuna deal nimepiga nimeingiza mkwanja wa maana!", au kama ni mwanafunzi wazazi wako wanakukatia mkwanja tu bila kuwaomba!!!

Kuna mzee mmoja ni mtumishi wa Serikali ndo haambiwi hasikii, kamng'ang'ania balaa, daily anavuta mkwanja na vyeo anapandishwa!

Na mm nimeanza kushawishika kumgegeda, kwani condom si zipo? kwanza sio lazima kupata UKIMWI ukimuandaa mwenzako vizuri ili kuepuka michubuko! au mnaniambiaje wana jamvi?

Hivi huyu manzi atakua mshirikina au ana karama tu???

Inamaana na wewe umemgegeda na umepata pesa?
Tukiacha swala la kugegeda tu ni wazi kuwa kuna wanawake ukiwa nao kwenye mahusiano ya kimapenzi wanakuwa kama baraka kwako na unakuta mambo yako yanafanikiwa na unakuwa na furaha wakati wote na ikitokea mmeachana mambo yanakuwa tofauti na mwanzo na hili mimi silichukulii kama ushirikina bali ni bahati tuu,

Na kuna wanawake ukiwa nao inakuwa kama mkosi vile na mambo yanakwenda ndivyo sivyo.
 
Back
Top Bottom