Lissu hajaweza na hataweza kutoka kwenye hulka yake ya uanaharakati (activism). Hii ni hali ya chini kisiasa au utoto wa kisiasa. CHADEMA chini ya Mbowe kilishavuka hatua hiyo kitambo sana.
Lissu ataivuruga CDM kwa mambo mengi ikiwa ni pamoja na kukosa uzoefu na uvumilivu kwa wanachama wenzake. Mbowe anahitajika kwa CHADEMA kuendelea kuwa chama kikuu cha siasa Tanzania.
Lissu ataivuruga CDM kwa mambo mengi ikiwa ni pamoja na kukosa uzoefu na uvumilivu kwa wanachama wenzake. Mbowe anahitajika kwa CHADEMA kuendelea kuwa chama kikuu cha siasa Tanzania.