At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Sawa. Nitasoma.Zanzibar Revisited — Central Intelligence Agency
Zanzibar Revisited, Helen-Louise Hunter. A reconstruction of the events of the Zanzibar revolution of January 1964 shows particularly well the usefulness of going back for an unhurried reexamination of a crisis after all the returns are in: it reaches conclusions about both events and causes...www.cia.gov
Soma hizo report za CIA
Kwa hio na mimi swali hili linanihusu?Zanzibar Revisited — Central Intelligence Agency
Zanzibar Revisited, Helen-Louise Hunter. A reconstruction of the events of the Zanzibar revolution of January 1964 shows particularly well the usefulness of going back for an unhurried reexamination of a crisis after all the returns are in: it reaches conclusions about both events and causes...www.cia.gov
Highlight nilipoandika wapinzani ni malaika
Mbona kama kweli maana MAISHA YATAKUWA MAGUMU WATAFEKWA MIPOSHO YOTE NA HAKUNA PAKULALAMIKA.... then UN org itawanyima 2 trillion. Kwamkukosa PAC na LAC Chairperson as per bunge law.. wakija mtaaani tunawazomea na kuwazodoa.... wakitujibu tunawakimbiza mipakani na watu wasiojukikanaWahenga wanamisemo mingi sana ya kufundisha, kuonya, kufariji, kukemea na kukupa dira. Miongoni mwa misemo hiyo, Kuna msemo mmoja, "ukiona mwenzio ananyolewa, wewe tia maji".
Msemo huo una maana kubwa sana, pia historia ina utamaduni wa kujirudia.
Siku za karibuni tumeona viongozi wa upinzani eidha wakikimbia nchi, au wakikamatwa baada ya kujaribu kukimbia kuyanusuru maisha yao baada ya kupokea taarifa za kutishiwa maisha yao.
Kuna baadhi ya wanachama wa CCM wamekuwa wakiwabeza wapinzani wanaolalamika kutishiwa maisha, wanadhani wao wako salama.
Siku si nyingi zinakuja, Moto na mtifuano mkali utaanza kuwaka ndani ya chama hicho.
Wataanza nao kutekwa, kuuliwa na kutishiwa maisha. Kama kina Kambona na Kassim Hanga walivyokimbia, hii historia inaenda kujirudia.
Hakika ni swala la muda tu
- Swala la upinzani kuja kushinda uchanguzi na wao ccm kukimbia ni sehemu ya maisha kweni nini? Hiyo ndiyo itasababisha tuone kua upinzani unafaa?
- Waliobeba neno demokrasia pale Libya wakakataa mazuri yaliyo kuwepo leo wako wapi? Ghadafi alikufa na Libya yake ameacha wanakimbia kimbia na kuzama baharini kila siku,Tanzania hatuna kikubwa tunacho hitaji zaidi ya AMANI.
- Na ningekua mimi ndiyo Rais wa nchi hii nasema wazi ningefunga mitandao yote hii ya kijamii ili tufanye kazi tu kukuza uchumi kwisha. Tungeishi kama nchi ya Brunei na mambo yangekwenda tu
Acheni kuiga utamaduni wa nje usio tuhusu,maana hata wao hawaigi utamaduni wetu zaidi ya sisi kujipendekeza kwao kuwaambia wakusaidieni kuwatunza uchaguzi haukua hulu na haki
Tume haiko hulu lakini umechulichukua fomu ya kugombea
Mahakama haiko hulu lakini unajiandaa kuapa
Vyombo vya habari haviko hulu lakini mnaviita ili kuzungumza
UPUUZI.
Mzungu hana shida na wewe mpaka leo karne 21 huna uwezo wa chakula cha kutoshaMawazo mufulisi.
Mnajitengenezea kiki.
But wakiona nyie mmefeli kuwa vibaraka wao.
Wanaweza watafuta ndani ya CCM.
Mbona alimwekea kikwazo Makonda?Mzungu hana shida na wewe mpaka leo karne 21 huna uwezo wa chakula cha kutosha
Madawa ya kutosha alafu ahangaike na wewe utajifia mwenyewe
Kuhama bongo sio swala la utashi mkuu; unaweza ukalazimishwa.We Buji wewe, mi sihami bongo ng'o!
Inakuja tujiandae.Wahenga wanamisemo mingi sana ya kufundisha, kuonya, kufariji, kukemea na kukupa dira. Miongoni mwa misemo hiyo, Kuna msemo mmoja, "ukiona mwenzio ananyolewa, wewe tia maji".
Msemo huo una maana kubwa sana, pia historia ina utamaduni wa kujirudia.
Siku za karibuni tumeona viongozi wa upinzani eidha wakikimbia nchi, au wakikamatwa baada ya kujaribu kukimbia kuyanusuru maisha yao baada ya kupokea taarifa za kutishiwa maisha yao.
Kuna baadhi ya wanachama wa CCM wamekuwa wakiwabeza wapinzani wanaolalamika kutishiwa maisha, wanadhani wao wako salama.
Siku si nyingi zinakuja, Moto na mtifuano mkali utaanza kuwaka ndani ya chama hicho.
Wataanza nao kutekwa, kuuliwa na kutishiwa maisha. Kama kina Kambona na Kassim Hanga walivyokimbia, hii historia inaenda kujirudia.
Hakika ni swala la muda tu
ukizoea kunywa damu ya watu siku ukikosa utakunywa ya watoto wako
Endeleeni tu kulifunga hilo JOKA,likija kukosa chakula litawameza na ninyi bila shaka.Mawazo mufulisi.
Mnajitengenezea kiki.
But wakiona nyie mmefeli kuwa vibaraka wao.
Wanaweza watafuta ndani ya CCM.
Itategemea nimeamkaje.Mnafikili CCM ni Kama hiyo saccos yenu ya DJ!
Sawa huo ni uoni wako.Endeleeni tu kulifunga hilo JOKA,likija kukosa chakula litawameza na ninyi bila shaka.
Ndipo mtakapokuwa na kilio na kusaga meno,asiwepo mtu wa kuwatetea.
Usaliti wa wapinzani ni upi?Haitakuwa shida endapo hao CCM nao watakuwa vibaraka ni lazima watimke tu.
Huwezinkufuga fisi ndani ya zizi la mbuzi,
Htaka kama fifi huyo i wako ni bora afukuzwe tu, ukimuacah atauwa mbuzi wote.
Waoinzani ni wasariti sana