Leo Waziri Mkuu Majaliwa ni kusifia tu, kila mara utamsikia "Piga makofi mengi kwa Rais"!

Leo Waziri Mkuu Majaliwa ni kusifia tu, kila mara utamsikia "Piga makofi mengi kwa Rais"!

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....

Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
 
😀😀😀kwahio ulitaka aseme wapige matumbo ama
 
Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....

Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Hapo yupo nyumbani lakini anavuta 250,000 kwa siku, gari bure na kila kitu pamoja na wasaidizi wake, lakini Ummy anakwambia bima ya watoto ni hasara
 
Mama hapo moyo kwatuu..yaani anaona anapendwa hata mtangulizi wake hamfikii hata robo..maana kila afanyacho anataka kujipima mizani.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Kwani mtangulizi wake alikuwa anapendwa au alikuwa anaogopwa na kunyenyekewa kinafiki?
 
Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....

Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Kunywa sumu kama inakukera
 
Huo ndio utofaut wa siasa za africa na siasa za ulaya kwakweli viongozi wa africa tunatia aibu ebu mtizame waziri mkuu kasahau mpaka cheo chake amekuwa chawa kama mwijaku aibu naona mimi jamani
 
Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....

Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Jiweke wewe kwenye nafasi yake kabla hujakebehi wala kuongea maneno ya dharau.
 
Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....

Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Yes, 48 Laws of Power ya Robert Green imelala kichwani kwa huyo Mzee.

ebo! kwan kunashida gan?
 
Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....

Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Huyu ndiye BIG CHAWA.
Lini umewahi kumsikia akifanya maamuzi yake binfsi bila kumtaja rais?

Ni kiongizi dhaifu kupata kutokea tangu uasisi wa mawaziri wakuu nchini
 
Back
Top Bottom