ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nani ameiba nini?Kumpigia makofi mwizi ni sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani ameiba nini?Kumpigia makofi mwizi ni sawa?
Ndio wamesha geuzwa wajinga hivyo!hakuna namna.Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....
Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Unadhani bandari kagawa bure?Nani ameiba nini?
Wewe ukiteuliwa kuwa waziri mkuu hutatuambia wananchi tupige makofi?Kusema mtu apige makofi, hakuhitaji akili. Hayo ndiyo wanayoweza kuyafanya.
Utafikori wao huwa hawanyenyekei Mbowe!Ulitaka aseme piga makofi Kwa Mbowe au Lisu?
Ila sielew kwann watawala hasa bongo hupenda san kusifiwa ilhali wafanyayo ni wajibu wao ndio maan wakapata kaz ya urais!! Hua sikubaliani kbs na sifa kupelekwa kwa kiongoz kisa ametimiza wajibu wake!! Na hili ndilo limefanya Marais wa Africa wajione miungu watu!!Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....
Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Nipe sababu za msingi... Wapige makofi kwaajil gan?Wewe ukiteuliwa kuwa waziri mkuu hutatuambia wananchi tupige makofi?
Hakuna Moshi awamu hii, maana wamemuelewa mno walima mbaazi.Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....
Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Kuunga mkono juhudi za maendeleoNipe sababu za msingi... Wapige makofi kwaajil gan?
Kamuulize atakwambiaNani ameiba nini?
Asisifie mchezo ,kutoka uzeeni hadi kuja ujananiLeo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....
Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Juhud za maendeleo ni kaz yao watawala, huez pongeza mtu kutimiza wajibu wake!!! Jifunze 👇👇Kuunga mkono juhudi za maendeleo
Hilo mbona swali gumu sana, jiulize watu kuacha shughuli zao eti wanajipanga barabarani kumwangalia kiongozi anayepita mimi huwa sielewi au hata akisimama kidogo tu utaona watu tayari wamejaa,ukiwaliza unatafuta nini hakuna anayeweza kukupa jibu.Nipe sababu za msingi... Wapige makofi kwaajil gan?
Acha nchi itafunwePiga makofi 🤣