Leo Waziri Mkuu Majaliwa ni kusifia tu, kila mara utamsikia "Piga makofi mengi kwa Rais"!

Leo Waziri Mkuu Majaliwa ni kusifia tu, kila mara utamsikia "Piga makofi mengi kwa Rais"!

Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....

Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Ndio wamesha geuzwa wajinga hivyo!hakuna namna.
 
Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....

Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Ila sielew kwann watawala hasa bongo hupenda san kusifiwa ilhali wafanyayo ni wajibu wao ndio maan wakapata kaz ya urais!! Hua sikubaliani kbs na sifa kupelekwa kwa kiongoz kisa ametimiza wajibu wake!! Na hili ndilo limefanya Marais wa Africa wajione miungu watu!!
 
Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....

Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Hakuna Moshi awamu hii, maana wamemuelewa mno walima mbaazi.
 
Ulitaka ashupaze shingo...Kuna muda tukubali kujishusha
 
Leo 18/9/2023 Rais Samia anafanya mkutano Ruangwa Lindi, jimboni kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Majaliwa kila akiongea leo kidogo tu piga makofi mengi kwa Rais, Mh Rais umeleta maji piga makofi kwa Rais, kuna barabara piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais, piga makofi kwa Rais....

Amekuwa hana tofauti na chawa wa mama, kujikomba ili apate kitu fulani. Au ni sababu ya cheo cha Naibu Waziri Mkuu?
Asisifie mchezo ,kutoka uzeeni hadi kuja ujanani
 

Attachments

  • IMG-20220610-WA0004.jpg
    IMG-20220610-WA0004.jpg
    15.7 KB · Views: 3
Haters hadi 2030 mtakuwa mnajisaidia njiani haki ya nani
 
Nipe sababu za msingi... Wapige makofi kwaajil gan?
Hilo mbona swali gumu sana, jiulize watu kuacha shughuli zao eti wanajipanga barabarani kumwangalia kiongozi anayepita mimi huwa sielewi au hata akisimama kidogo tu utaona watu tayari wamejaa,ukiwaliza unatafuta nini hakuna anayeweza kukupa jibu.
 
Back
Top Bottom