Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu


[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]dada jaman
Naomba nikiwa mkubwa naomba niweze kuchana mistari kama wewe jaman
Sijui ulkua kwnye pose gan ulvyokua unaandika hili tongozo[emoji38].
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]dada jaman
Naomba nikiwa mkubwa naomba niweze kuchana mistari kama wewe jaman
Sijui ulkua kwnye pose gan ulvyokua unaandika hili tongozo[emoji38].
Mbona hata ww unaonekana fundi hah [emoji38] [emoji1787] [emoji23]. Hilo pozi la kulala kifudifudi halafu ana nightdress tu [emoji1] [emoji3]
 
Me nasubiri mtongozo wa beautiful kelsea kwa hamu hapa,fanya uje nipige sound
 
Tangu umekuwa rafikiyangu,
Wewe ndiye sababu ya kuamka na tabasamu,mara nying nacheka hata wakati wengine wanatarajia nilie. Kwa sababu kuna kitu cha pekee juu ya upendo wako ambacho kinanifanya nijisikie furaha
unajaza kila sehemu ya maisha yangu Kila ninapoona ujumbewako hua nahis sikuyang imekamilika
mbna maneno yameisha Sasa😂😂😂😂
 
Hii kazingumu nimeshashusha ila nimeshindwa kumalizia kumbe ndo kazi hiv looh 🤣🤣
Hebu jaribu kwangu tena we nipige saundi 2 au 3 mi mbona cjui kukaza!
 
Umejaribu aisee kwahyo saundi kuna mtu keshalegea huko.
 
Jamaniiii, nimekubali kuwa mpenzi wako ila naomba mama asijue plzzzz...!!!

#YNWA
 
Sawa nimekubali tena ungechelewa kidogo ningekupinga sound mwenyewe baby[emoji7]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…