Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Aiseeee hili ni zaidi ya tongozo labla nifundishwe kwanza hiv hiv sio rahisi[emoji38]
[emoji1][emoji1][emoji1] hilo ni zaidi! Fanya hivo Darlin.Mpigie video call mdau unayemzimia then ulale hivo na hiyo dress.Hilo ndo tongozo extraordinary sasa
 
Sa unashindwa Nini luckyline halafu ukute hata yeye anawaza akuanze vipi.
Toa neno moja tu au fanya kitu kimoja Cha kumfanya awaze (kwani huyu dada ananionaje Mimi) Kisha yeye (kama ni mwanaume kamili) atamalizia.
 
Mm naona mwisho kukudharau tu Bora unyamaze tu ukute mkaka ambae anashobokewa na wadada na wew ukianza anakuweka kwenye kundilile lile japo inawezekana unapenda kweli
 
Ila kweli mi jamanii mrahisi kama nguo za sagulasagula najaribu kukaza nashindwa haswa nikikumbuka uzuri wako!
Huna msimamo kabisa wew🤣ukitongozwa unakaza kidogo unaomba vocha kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…