[emoji1][emoji1][emoji1] hilo ni zaidi! Fanya hivo Darlin.Mpigie video call mdau unayemzimia then ulale hivo na hiyo dress.Hilo ndo tongozo extraordinary sasaAiseeee hili ni zaidi ya tongozo labla nifundishwe kwanza hiv hiv sio rahisi[emoji38]
hahahahaha,mpunguzie gharama,nauli jilipiesophy27 endelea basi kushusha vocal alaf utume na hela ya nauli maana naona wengi wameshadata na tongozo lako.
Si ndo hapo aje tuhahahahaha,mpunguzie gharama,nauli jilipie
hahahahahahaNimesema aje nauli nitamrudishia akifika😂
Sa unashindwa Nini luckyline halafu ukute hata yeye anawaza akuanze vipi.Acheni hizo hicho kitu hatuwezagi, unaanzaje kwa mfano? Mwanamke kaumbiwa aibu. Binafsi siwezi mtamkia kaka neno lolote la kimahusiano kama hajaanza yeye.
kama ingekuwa ni rahisi basi mimi Mungu kanikutanisha na mtoto wa mkubwa no moja hapa mjini cha ajabu sina hata pa kuanzia.
tulikutana kikazi na kazi hiyo naendelea nayo pamoja nae ila ndo hivyo tena.
In short huyu kaka ana status kubwa dah.ila yupo charming. Tunaongelea maswala ya kazi tu. Kwa kweli nimemuelewa sio kwa sababu ya status ya familiya yao bali kaka mwenyewe yuko simple anaongea vizuri, dah akiongea kikiristo ndo utamu wake ulipo.
Jl wewe mtoto wa mama mkwe mmmh.
Nimeamini ukimuona mtu face to face ndo moyo unatoa jibu. Humu jf ya kufichana wacha yabaki hivyo hivyo.
Huyu kaka anakuwa mtu wa pili kumuelewa tangu nizaliwe, wa kwanza, hatukuweza kufikia malengo, sasa hivi anaishi na maisha yake huko mbali.wapili ndo huyu sidhani hata kama nitamsogelea ana status kubwa mno . Anyway nimeshare tuuuuuu.sina maana nyingine.
Uchesi na sautiMbona sisi huwa wanakula sana nauli zetu na hpo bado hujaambulia mzigo ila anajua kutongoza mpaka mtu chake umelegea huko ulipo!
Mm naona mwisho kukudharau tu Bora unyamaze tu ukute mkaka ambae anashobokewa na wadada na wew ukianza anakuweka kwenye kundilile lile japo inawezekana unapenda kweliAcheni hizo hicho kitu hatuwezagi, unaanzaje kwa mfano? Mwanamke kaumbiwa aibu. Binafsi siwezi mtamkia kaka neno lolote la kimahusiano kama hajaanza yeye.
kama ingekuwa ni rahisi basi mimi Mungu kanikutanisha na mtoto wa mkubwa no moja hapa mjini cha ajabu sina hata pa kuanzia.
tulikutana kikazi na kazi hiyo naendelea nayo pamoja nae ila ndo hivyo tena.
In short huyu kaka ana status kubwa dah.ila yupo charming. Tunaongelea maswala ya kazi tu. Kwa kweli nimemuelewa sio kwa sababu ya status ya familiya yao bali kaka mwenyewe yuko simple anaongea vizuri, dah akiongea kikiristo ndo utamu wake ulipo.
Jl wewe mtoto wa mama mkwe mmmh.
Nimeamini ukimuona mtu face to face ndo moyo unatoa jibu. Humu jf ya kufichana wacha yabaki hivyo hivyo.
Huyu kaka anakuwa mtu wa pili kumuelewa tangu nizaliwe, wa kwanza, hatukuweza kufikia malengo, sasa hivi anaishi na maisha yake huko mbali.wapili ndo huyu sidhani hata kama nitamsogelea ana status kubwa mno . Anyway nimeshare tuuuuuu.sina maana nyingine.
Huna msimamo kabisa wew🤣ukitongozwa unakaza kidogo unaomba vocha kwanzaIla kweli mi jamanii mrahisi kama nguo za sagulasagula najaribu kukaza nashindwa haswa nikikumbuka uzuri wako!
Nishaua mbona
Nacheka cheka kwanza huku nang'ta nga'ta vidole...Am in love with you Smart911 ....sitaki ndoa nataka naniliu tu.Nakupa muda ujifikirie maana una watu wako micharuko wasije nitoa macho mie😏
hahahahahaha,katishaMbona sisi huwa wanakula sana nauli zetu na hpo bado hujaambulia mzigo ila anajua kutongoza mpaka mtu chake umelegea huko ulipo!