Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Aiseeee hili ni zaidi ya tongozo labla nifundishwe kwanza hiv hiv sio rahisi[emoji38]
[emoji1][emoji1][emoji1] hilo ni zaidi! Fanya hivo Darlin.Mpigie video call mdau unayemzimia then ulale hivo na hiyo dress.Hilo ndo tongozo extraordinary sasa
 
Acheni hizo hicho kitu hatuwezagi, unaanzaje kwa mfano? Mwanamke kaumbiwa aibu. Binafsi siwezi mtamkia kaka neno lolote la kimahusiano kama hajaanza yeye.

kama ingekuwa ni rahisi basi mimi Mungu kanikutanisha na mtoto wa mkubwa no moja hapa mjini cha ajabu sina hata pa kuanzia.

tulikutana kikazi na kazi hiyo naendelea nayo pamoja nae ila ndo hivyo tena.

In short huyu kaka ana status kubwa dah.ila yupo charming. Tunaongelea maswala ya kazi tu. Kwa kweli nimemuelewa sio kwa sababu ya status ya familiya yao bali kaka mwenyewe yuko simple anaongea vizuri, dah akiongea kikiristo ndo utamu wake ulipo.

Jl wewe mtoto wa mama mkwe mmmh.

Nimeamini ukimuona mtu face to face ndo moyo unatoa jibu. Humu jf ya kufichana wacha yabaki hivyo hivyo.

Huyu kaka anakuwa mtu wa pili kumuelewa tangu nizaliwe, wa kwanza, hatukuweza kufikia malengo, sasa hivi anaishi na maisha yake huko mbali.wapili ndo huyu sidhani hata kama nitamsogelea ana status kubwa mno . Anyway nimeshare tuuuuuu.sina maana nyingine.
Sa unashindwa Nini luckyline halafu ukute hata yeye anawaza akuanze vipi.
Toa neno moja tu au fanya kitu kimoja Cha kumfanya awaze (kwani huyu dada ananionaje Mimi) Kisha yeye (kama ni mwanaume kamili) atamalizia.
 
Acheni hizo hicho kitu hatuwezagi, unaanzaje kwa mfano? Mwanamke kaumbiwa aibu. Binafsi siwezi mtamkia kaka neno lolote la kimahusiano kama hajaanza yeye.

kama ingekuwa ni rahisi basi mimi Mungu kanikutanisha na mtoto wa mkubwa no moja hapa mjini cha ajabu sina hata pa kuanzia.

tulikutana kikazi na kazi hiyo naendelea nayo pamoja nae ila ndo hivyo tena.

In short huyu kaka ana status kubwa dah.ila yupo charming. Tunaongelea maswala ya kazi tu. Kwa kweli nimemuelewa sio kwa sababu ya status ya familiya yao bali kaka mwenyewe yuko simple anaongea vizuri, dah akiongea kikiristo ndo utamu wake ulipo.

Jl wewe mtoto wa mama mkwe mmmh.

Nimeamini ukimuona mtu face to face ndo moyo unatoa jibu. Humu jf ya kufichana wacha yabaki hivyo hivyo.

Huyu kaka anakuwa mtu wa pili kumuelewa tangu nizaliwe, wa kwanza, hatukuweza kufikia malengo, sasa hivi anaishi na maisha yake huko mbali.wapili ndo huyu sidhani hata kama nitamsogelea ana status kubwa mno . Anyway nimeshare tuuuuuu.sina maana nyingine.
Mm naona mwisho kukudharau tu Bora unyamaze tu ukute mkaka ambae anashobokewa na wadada na wew ukianza anakuweka kwenye kundilile lile japo inawezekana unapenda kweli
 
Ila kweli mi jamanii mrahisi kama nguo za sagulasagula najaribu kukaza nashindwa haswa nikikumbuka uzuri wako!
Huna msimamo kabisa wew🤣ukitongozwa unakaza kidogo unaomba vocha kwanza
 
Back
Top Bottom