Wala,yaliyopita nimekubali ilipaswa nipitie,mi naangalia la Leo na kesho bas
Ya leo na kesho ndiyo yapi hayo...Wala,yaliyopita nimekubali ilipaswa nipitie,mi naangalia la Leo na kesho bas
Moyo,kuharibiana mipangoTunaumiza kitandani au tunaumiza wapi...
Kuendelea kuishi na kuitafuta furaha..kama alipanga uishi mwenza utampata tu Kwa wakati uliopangiwaYa leo na kesho ndiyo yapi hayo...
🤣🤣🙏🙌😂 Lazima alalame labda umliwaze sana!
Pole sana kwa kupigwa matukio...Moyo,kuharibiana mipango
Asante sana SPole sana kwa kupigwa matukio...
Embu tuone itakuaje...Nisije wekwa ndani tu Kwa nitakachomfanya🥵
Sawa 🤝Embu tuone itakuaje...
Karibu sana... Ila usije kuhamia mazima, sababu umesema ni kukutanisha vikojolea tu...Sawa 🤝
😋Nikinogewa itabidi unifikirie aisee...nitaumia tena mwenzioKaribu sana... Ila usije kuhamia mazima, sababu umesema ni kukutanisha vikojolea tu...
Ni kulamba asali tu, hakuna kuchonga mzinga, maana wakija kupopoa kwa mawe utaumia...😋Nikinogewa itabidi unifikirie aisee...nitaumia tena mwenzio
Ni kweli aisee,maana hapa naandika huku nikiangaza huku na kule maana najua wananiona wananionaaa😜Ni kulamba asali tu, hakuna kuchonga mzinga, maana wakija kupopoa kwa mawe utaumia...