Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu


Safi sana ila hujamtag huyu mwamba bora umeonyesha kiwango kizuri
 
Wala wee shusha mistari jamani na mie mzabzab nipate kufarijika na mashairi ya mlimbwende
Tatizo hata kutongoza kwenyewe sijui. Let me tell you that I love you so much 😍😍😍πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜
 
Tatizo hata kutongoza kwenyewe sijui. Let me tell you that I love you so much 😍😍😍πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜
I love u too jamani ebu njoo basi wikend tuenjoy pamoja
 
Utapoteza nafasi uje kujilaumu. Ila nahisi bado Kuna upande wako haujamkubali. La sivyo aibu ungeziweka pembeni, ungetafuta namna ya kumfikishia ujumbe.
He is very busy hapatikani kirahisi
afu status yake dah sehemu ya kumpata yofauti na kazi majanga, ikitokea akahusika kwenye kazi dk 5 ni nyingi. Ahaaaaaa hii mada iishie hapa.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kuna siku nafasi nilikuwa nayo ila it was first time nilikuwa nawaza kazi kuliko kitu chochote.
Mara niko ndani na wafanyakazi naona chuma ya hatari inapaki hapo nikajiuliza waziri gani kaingia hapa eboooo sio ndo yeye ndo anatoka mweeeeΓ¨ee kufika tu utambulisho ofcause mahali pale ni full kikiristo, nikatambulishwa, this luckyline , she is............ fasta mara ndo naondoka nae duh......... tukaenda tunaongea kimalikia anavyoongea sasa dah mkaka kaisha kwa queen Elizabeth ananyooka kikiristo had raha.na mimi si haba napiga πŸ˜€πŸ˜€chezea. All in all on that day it was all about work

Nyie kuna watu wanaishi na hata hawaringi. Hivi huu uzi kwa nini isifungwe?
 
Duuuh, hapo "gather your confidence, swallow your pride, invite him to your house for dinner" by Harvey Specter
 
Hata mdada anitongoze na kunisumbua vipi simpi namba zangu mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…