Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Enwei, ngoja nijaribu..!!

Kila nikiiona comment yako mahali hapa naishia kutabasamu, sababu zaidi ya yote huwa ninaona kujiamini kwako ndani yake, cha kushangaza ni kuwa mapigo ya moyo wangu hubadilika na kudunda kwa kasi nilionapo tu jina lako, hujikuta natabasamu na kucheka hata kwa vitu vidogo vitokavyo kwako na visivyo na maana kabisa,

Lengo hasa la kuyaandika yote haya ni kutaka kukueleza ni jinsi gani wautesa mtima wangu, ninahisi kuvutiwa na kila kitu kuhusu wewe, hata avatar isiyo yako halisi inanifanya niachie tabasamu mwanana,

Natamani niendelee kukuonesha ni namna gani nimebarikiwa kukutana na wewe mahala hapa, ila hapana muda si rafiki sana upande wetu, hivyo naomba tafadhali uubariki moyo wangu kwa kunikubalia niwe wako, niamini Mimi, kunikubali ni kati ya maamuzi machache hutokaa ujutie kuyafanya kamwe, ...... please be mine..!

(Huku nakutazama machoni kwa macho ya maqhaba, ukichomoa niite andazi niko nimekaa pale)

Safi sana ila hujamtag huyu mwamba bora umeonyesha kiwango kizuri
 
Wala wee shusha mistari jamani na mie mzabzab nipate kufarijika na mashairi ya mlimbwende
Tatizo hata kutongoza kwenyewe sijui. Let me tell you that I love you so much 😍😍😍🥰🥰🥰😜😜😜😘😘😘😘
 
Vile wanawake wanatutongoza leo👇😁😁😁
YAIL4-3.jpeg
 
Utapoteza nafasi uje kujilaumu. Ila nahisi bado Kuna upande wako haujamkubali. La sivyo aibu ungeziweka pembeni, ungetafuta namna ya kumfikishia ujumbe.
He is very busy hapatikani kirahisi
afu status yake dah sehemu ya kumpata yofauti na kazi majanga, ikitokea akahusika kwenye kazi dk 5 ni nyingi. Ahaaaaaa hii mada iishie hapa.😀😀😀😀
Kuna siku nafasi nilikuwa nayo ila it was first time nilikuwa nawaza kazi kuliko kitu chochote.
Mara niko ndani na wafanyakazi naona chuma ya hatari inapaki hapo nikajiuliza waziri gani kaingia hapa eboooo sio ndo yeye ndo anatoka mweeeeèee kufika tu utambulisho ofcause mahali pale ni full kikiristo, nikatambulishwa, this luckyline , she is............ fasta mara ndo naondoka nae duh......... tukaenda tunaongea kimalikia anavyoongea sasa dah mkaka kaisha kwa queen Elizabeth ananyooka kikiristo had raha.na mimi si haba napiga 😀😀chezea. All in all on that day it was all about work

Nyie kuna watu wanaishi na hata hawaringi. Hivi huu uzi kwa nini isifungwe?
 
He is very busy hapatikani kirahisi
afu status yake dah sehemu ya kumpata yofauti na kazi majanga, ikitokea akahusika kwenye kazi dk 5 ni nyingi. Ahaaaaaa hii mada iishie hapa.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna siku nafasi nilikuwa nayo ila it was first time nilikuwa nawaza kazi kuliko kitu chochote.
Mara niko ndani na wafanyakazi naona chuma ya hatari inapaki hapo nikajiuliza waziri gani kaingia hapa eboooo sio ndo yeye ndo anatoka mweeeeèee kufika tu utambulisho ofcause mahali pale ni full kikiristo, nikatambulishwa, this luckyline , she is............ fasta mara ndo naondoka nae duh......... tukaenda tunaongea kimalikia anavyoongea sasa dah mkaka kaisha kwa queen Elizabeth ananyooka kikiristo had raha.na mimi si haba napiga [emoji3][emoji3]chezea. All in all on that day it was all about work

Nyie kuna watu wanaishi na hata hawaringi. Hivi huu uzi kwa nini isifungwe?
Duuuh, hapo "gather your confidence, swallow your pride, invite him to your house for dinner" by Harvey Specter
 
Hata mdada anitongoze na kunisumbua vipi simpi namba zangu mie
 
Back
Top Bottom