Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Hiko ndio kinachoniumiza zaidi adi nimekosa usingizi leo usiku🤣🤣🤣

Nina wasi wasi kama anatrainika yule.
Em tumuwekee ❌ 😂 bora kutafuta tu mwingine
😂🤣🤣 anazingua sana
Uhandsame wote ule sasa anakosaje akili?

Leo apewe mtihani mwingine tumpime 😄😄 tujilipue na 📱

Then akutane na makwesheni ya level za CPA tuchuje mbivu na mbichi
 
😂🤣🤣 anazingua sana
Uhandsame wote ule sasa anakosaje akili?

Leo apewe mtihani mwingine tumpime 😄😄 tujilipue na 📱

Then akutane na makwesheni ya level za CPA tuchuje mbivu na mbichi
Yaani nitachekaa🤣🤣🤣
Matumizi mabaya ya uhandsome hayo, me kashanikwaza.

Em badae mchana tumtest tumsikie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…