Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
...Usijali kabisa ukija huku itabid uwe unaosha vyombo, unafua na kupiga deki ndani hili kufidishia nauli..... uje na vumbi la kongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Usijali kabisa ukija huku itabid uwe unaosha vyombo, unafua na kupiga deki ndani hili kufidishia nauli..... uje na vumbi la kongo
Ankoo😊😊😊😊
Taliban GunnerAnkoo
Taliban macho kwisha.Taliban Gunner
Mtoa post ni kama nakufahamu vile?!.Hebu wadada wa humu tutongozeni ili tupime misimamo yetu. Shusheni vocal hizo nasisi tuanze kutafuna majani na kung'ata kucha! 🔥
Jifunzie kwanguEndeleeni na mitongozo najifunza jamani
Rudia TenaEndeleeni na mitongozo najifunza jamani
😳 Mkuu we si kidume. Hapana sitaki usinitongoze.Mtoa post ni kama nakufahamu vile?!.
Kesho pitia ofisi za BEFORWARD Tanzania zilizoko mitaa ya Posta, kuna Toyota Fortuner yako (new model) nimekuagizia kutoka Japan. Nenda ukachague rangi uipendayo man. Ikilazimu kuongeza hela watanijulisha. Usisahau kuni-text mchana ukiwa free ili nikusindikize barber shop.
Love you bby🥰
Njoo nikupige soundNasubir tongozo hapa kwa hamu
hapo ndio umetongoza daah kunavitu vinachekesha sanaNakupenda mno shemeji.... achana na ccsta njoo kwangu ntayalinda mahusiano yetu ntayapigania yasivunjwe na yyte yule......pia kesho amia nyumbani kwangu ntajitahid niwe mwanamke mzuri nkutunze upendeze
Hahahaaaaa aaaah aisee nimeshalegea kwa huu mwito tuuuuuu.Njoo nikupige sound