Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenuna nin tena๐๐๐๐ Haya bana ๐
Pale kwa malaika wa getini๐๐๐hunaga baya lovelovie
una sehemu yako mbinguni
I dont want to share ๐๐ซค๐ฉ๐ซUmenuna nin tena๐๐
Karibu sana sie tupoNn shida tena ๐ ๐ ๐ .
Ntakuja mwanza hii weeknd mi sitanii ujue ๐
Kwa nin u do not?I dont want to share ๐๐ซค๐ฉ๐ซ
We sema kweli ๐.Amina amina tutafika pamoja
Kabisa nakwambiaWe sema kweli ๐.
Nataka ni faidi peke angu ๐ hiyo sauti yako.Kwa nin u do not?
๐๐๐๐Nataka ni faidi peke angu ๐ hiyo sauti yako.
Duuh embu nipe namba yako uwe unani bembeleza nikitoka kazini.
Walaai itakuwa vyedi
Unanyanyua nini mikono? Si umeombwa namba ๐คฃ aah nlisahau Mnara wa Tz umeambiwa uzame pm mkayajenge. ๐คฃ๐๐๐๐
Please kwani hutaki. Nataka nisikie sauti yako babe I'm serious. ๐ง๐ง ๐๐๐๐๐
Pm imetiwa kofuli mkuu. Aiache hata hapa kwa sekunde mbili ni copy alafu aifute ๐คฃ๐คฃ.Unanyanyua nini mikono? Si umeombwa namba ๐คฃ aah nlisahau Mnara wa Tz umeambiwa uzame pm mkayajenge. ๐คฃ