Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa mpole sasa usiende race ukaja angukia pua. Take it slow and easy. Huyu Lovelovie kwao ni kapripoint Mwanza sitaki nikutajie nyumba gani. Mzee wake anamiliki duka kubwa na maarufu la hardware hapo kirumba na ni mfanyabiashara wa madini. Alisomea shule ya loreto akafukuzwa akahamia victorian na penyewe akafukuzwa kisha kwenda kumalizia thaaqafa.Pm imetiwa kofuoi mkuu. Aiache hata hapa kwa sekunde mbili ni copy alafu aifute 🤣🤣.
Lovelovie nimependa sauti yako bibie nataka niisikie daily.
Ukiachia mbali zile audio
Yes dear. Nataka nisikie sauti yako daily.Hivi huko serious😳😳
😳😳😳😳Please kwani hutaki. Nataka nisikie sauti yako babe I'm serious. 🧔🧔 😊
Mwambie Poker akupe namba angu,Yes dear. Nataka nisikie sauti yako daily.
I'm not jocking. 😔😐
Heee Lovelovie ya kweli haya?Kuwa mpole sasa usiende race ukaja angukia pua. Take it slow and easy. Huyu Lovelovie kwao ni kapripoint Mwanza sitaki nikutajie nyumba gani. Mzee wake anamiliki duka kubwa na maarufu la hardware hapo kirumba na ni mfanyabiashara wa madini. Alisomea shule ya loreto akafukuzwa akahamia victorian na penyewe akafukuzwa kisha kwenda kumalizia thaaqafa.
Eeh ndo mim amenitag alafu akafuta jina langu alafu akaedit hivo😂😂😂We ndio mama tamu? 😂
We mama tamu nataka nisikie sauti yako saivi. 🙂🙂Eeh ndo mim amenitag alafu akafuta jina langu alafu akaedit hivo😂😂😂
Nakuja soon Baba tamumama tamu utakuja lini nasikiliza audio zako hapa ujue. 😅😆😘😘View attachment 2743483
Haya subiri hapo hapoWe mama tamu nataka nisikie sauti yako saivi. 🙂🙂
😂 Hapana nataka aje anifanyie massage tu Mnara wa Tz maana nina uchovu wa kuendesha trekta.We Poker unaniibia mama tamu eeeh 🤨