Leon Spinks alifungwa mkono wa kushoto ili apambane na Mohammad Ali?

Yaani kuwe na paambano kama hilo la kihistoria alafu lisiwe na picha au videos za ukumbusho


Story za vijiweni hizo
 
Kamba nyingi atakwambia alikuwa fullback 2 hupiti ukimwambia akupangie lineup yao ataanza golie alikuwa marehemu mzee juma fullback 3 marehemu martini half back 4 marehemu njunju na mkoba almarhumu mzee kibwana half back 6 marehemu mshume (mcharazo )winga marehemu masumbuko huku kiungo cha juu almarhumu matonsa yaani timu nzima wamefariki kabaki yeye sasa sijui utamuuliza nani kupata ukweli.
 
Bondia akifungwa mkono mmoja si anapigwa kila pambano 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…