Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahaHaahaaahaaaaaaa...
Hizo story zote nilikumbana nazo udogoni
mwishoni mwa miaka ya 80 nikiwa shule ya msingi.
Kuna braza wa zama hizo kitaa alikuwa akishatoka kwenye mishe zake anatukusanya 'madogo' na kuanza kutulisha hayo 'madini' pamoja na mamovi ya mbele ya kina Freddy Williamson,basi tulikuwa tunamkubali msela balaa.
Namkumbuka sana yule 'braza' nikiwa naitazama movie ya kihindi ya Sholay zama hizi za utu uzima wangu,kwani alichonisimulia yeye na nilichokuja kukiona kwenye hiyo muvi sasa dahhhh!.