Leonida Swai, mama aliyekusanya walemavu 38 kwenye ‘guest house’ yake Tandale

Leonida Swai, mama aliyekusanya walemavu 38 kwenye ‘guest house’ yake Tandale

hiyo million moja iliyobaki umeiweka wapi?maana Kama anatumia milioni moja kuwalisha, na million moja nyingine kwa huduma za maji nk. Basi faida ni million 7 badala ya 6. I stand to be corrected
Hiyo million ni mengineyo. Emergiences n.k
 
Wachaga mwisho wa reli..
Mangi katumia fursa [emoji23][emoji23][emoji23]
Wachaga Punguzeni tamaa ya pesa, tangulizeni utu
Ogopa sana mafanikio ya watu wawili
1. Mchaga
2. Muhindi
Hao watu janja janja sana
Hakuna kabila la washamba hapa Tanzania kama wachaga. Halafu ni wezi kwelikweli unapokaa na mchaga kuwa makini sana
Wachagga nawaogopaga kama UKOMA!
Mwenyekiti aliwachangisha wenzake hela ya uchaguzi kwa miaka 5, mwisho wa siku akawaambia hakuna hata thumni...KWELI, MJINI SHULE
 
Tumia akili dogo. Wanaishi bure wanakula bure. Unadhani angeamua kuifanya hiyo guest yake biashara ya Lodge angeingiza laki ngapi kwa siku?
Unadhani hao 38 kila mtu anaishi chumba chake? Hapo labda kawapa vyumba vitatu tu. Wanaume, wanawake na watoto.
 
Ila napata mashaka sana kwenye hili sakata tunapewa "single story" tu....upande wa pili wanasemaje?
 
Msingi upo kuanzia ulipoandika"watani ndugu zangu ......."
 
Back
Top Bottom