Nimesoma comments zote humu. Hazina solution yoyote Kwa walemavu zaid ya ujinga mtupu.
Kilichotokea kimesababishwa na system failure, hatujawahi kuwa na strategy ya kusaidia walemavu kumbuka Makamba vs Matonya struggle.
Naona sentiments tuu semeni what should be done na muwe mbele kufanya. Pumbavu hakuna.
That was a lesser evil kwa hao omba omba period na kina msaada kuliko midomo hii humu.
Mitano tena.
Kilichotokea kimesababishwa na system failure, hatujawahi kuwa na strategy ya kusaidia walemavu kumbuka Makamba vs Matonya struggle.
Naona sentiments tuu semeni what should be done na muwe mbele kufanya. Pumbavu hakuna.
That was a lesser evil kwa hao omba omba period na kina msaada kuliko midomo hii humu.
Mitano tena.